Pre GE2025 Mdude: Mbowe pumzika tunamhitaji Lissu kwa sasa

Pre GE2025 Mdude: Mbowe pumzika tunamhitaji Lissu kwa sasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ila waandishi wa habari, hivi kweli unamhoji Mdude kweli? Hayuko timamu huyu
Sijui ni kwanini huwa namuona huyu jamaa kama dishi lake limeyumba, ni kama ana matatizo fulani ya kisaikolojia.

Hii haihusiani na alichosema.
 
Wakuu,

"Kwahiyo ukisoma Biblia yote na imeandikwa kabisa, hakuna nabii mkubwa kuliko Mussa lakini Mungu alimpumzisha akampa Joshua akamalizie kazi, kwahiyo hata sasa tunaye Freeman Mbowe amefanya kazi kubwa sana, ni kama Mussa amewatoa wana wa Israel sasa tuko jangwani, tunataka kutoka hapa kwenda nchi ya ahadi ya Kaanani, tunayemhitaji ni Joshua na Joshua ni Tundu Lissu"- Mdude.

Mwanaharakati wa haki za binadamu na kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mdude Nyagali akizungumza na wanahabari mkoani Mbeya kuhusu uchaguzi wa ndani wa CHADEMA.

View attachment 3181597
CCM wanaogopa uchaguzi wa CHADEMA kuliko wanavyoogopa kumuuliza Mwenyekiti wao kwanini hachagui makamu
 
Wakuu,

"Kwahiyo ukisoma Biblia yote na imeandikwa kabisa, hakuna nabii mkubwa kuliko Mussa lakini Mungu alimpumzisha akampa Joshua akamalizie kazi, kwahiyo hata sasa tunaye Freeman Mbowe amefanya kazi kubwa sana, ni kama Mussa amewatoa wana wa Israel sasa tuko jangwani, tunataka kutoka hapa kwenda nchi ya ahadi ya Kaanani, tunayemhitaji ni Joshua na Joshua ni Tundu Lissu"- Mdude.

Mwanaharakati wa haki za binadamu na kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mdude Nyagali akizungumza na wanahabari mkoani Mbeya kuhusu uchaguzi wa ndani wa CHADEMA.

View attachment 3181597
Neno la Hekima sana kutoka kwa Mdude
 
Things will never be the same again baada ya uchaguzi huu na kuna hatari ya kutokea mpasuko mkubwa sana baada ya uchaguzi kuisha.

Busara ni kwa yule bwana aliyeongoza chama kwa miaka 21 just kutoka hadharani na kudeclear kwamba hatochukua form ya kugombea uongozi ili kazi ya reconciliation na kutibu majeraha ianze mara moja kabla ya siku ya Uchaguzi
 
Wakuu,

"Kwahiyo ukisoma Biblia yote na imeandikwa kabisa, hakuna nabii mkubwa kuliko Mussa lakini Mungu alimpumzisha akampa Joshua akamalizie kazi, kwahiyo hata sasa tunaye Freeman Mbowe amefanya kazi kubwa sana, ni kama Mussa amewatoa wana wa Israel sasa tuko jangwani, tunataka kutoka hapa kwenda nchi ya ahadi ya Kaanani, tunayemhitaji ni Joshua na Joshua ni Tundu Lissu"- Mdude.

Mwanaharakati wa haki za binadamu na kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mdude Nyagali akizungumza na wanahabari mkoani Mbeya kuhusu uchaguzi wa ndani wa CHADEMA.

View attachment 3181597
Mungu alimuadhibu Mussa ndio maana aliiona Kanaani kwa mbali tu. Kwa hiyo Chadema nayo inataka kumuadhibu Mbowe?

Amandla...
 
Wakuu,

"Kwahiyo ukisoma Biblia yote na imeandikwa kabisa, hakuna nabii mkubwa kuliko Mussa lakini Mungu alimpumzisha akampa Joshua akamalizie kazi, kwahiyo hata sasa tunaye Freeman Mbowe amefanya kazi kubwa sana, ni kama Mussa amewatoa wana wa Israel sasa tuko jangwani, tunataka kutoka hapa kwenda nchi ya ahadi ya Kaanani, tunayemhitaji ni Joshua na Joshua ni Tundu Lissu"- Mdude.

Mwanaharakati wa haki za binadamu na kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mdude Nyagali akizungumza na wanahabari mkoani Mbeya kuhusu uchaguzi wa ndani wa CHADEMA.

View attachment 3181597
kibaraka anaumgwa mkono na wavuta bangi kama hawa dah!

sasa atashinda uchaguzi gani kama jamaa kama huyo ndie anaempambania front line dah 🐒
 
Ukilijua lengo hasa la kuanzisha kwa vyama vya Upinzani hapa Tz mwaka 1992, utakuwa unajua wazi kabisa kwamba Mbowe hawezi kuacha kugombea Uenyekiti huko Chadema.
Viongozi wengi wa vyama vya upinzani ni Mapandikizi ya Tiss, ukianzia:- Augustine Lyatonga Mrema, Cheyo, Lipumba, Mabere Marando, na hata huyo FAM
tunasubiri kujua tamko kama atagombea, akigombea huyo ni bonge la TISS na tutajua kwa nini serikali hutoa ruzuku kwa wapinzani
 
Back
Top Bottom