Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
H
HAya maneno matupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAya maneno matupu
Sasa aliyelaaniwa ni aliyefariki au aliyepewa neema ya uzima?Mbowe ulilaniwa siku uliyoshangilia kifo cha Magufuli
Ila waandishi wa habari, hivi kweli unamhoji Mdude kweli? Hayuko timamu huyu
Hayo ndio maujinga yaliyojaa ccm ya kuogopana na kubaki kuwa machawa hata kwa mambo ya kipuuziAkigombea na akapita then MDUDE you are fired
CCM wanaogopa uchaguzi wa CHADEMA kuliko wanavyoogopa kumuuliza Mwenyekiti wao kwanini hachagui makamuWakuu,
"Kwahiyo ukisoma Biblia yote na imeandikwa kabisa, hakuna nabii mkubwa kuliko Mussa lakini Mungu alimpumzisha akampa Joshua akamalizie kazi, kwahiyo hata sasa tunaye Freeman Mbowe amefanya kazi kubwa sana, ni kama Mussa amewatoa wana wa Israel sasa tuko jangwani, tunataka kutoka hapa kwenda nchi ya ahadi ya Kaanani, tunayemhitaji ni Joshua na Joshua ni Tundu Lissu"- Mdude.
Mwanaharakati wa haki za binadamu na kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mdude Nyagali akizungumza na wanahabari mkoani Mbeya kuhusu uchaguzi wa ndani wa CHADEMA.
View attachment 3181597
Neno la Hekima sana kutoka kwa MdudeWakuu,
"Kwahiyo ukisoma Biblia yote na imeandikwa kabisa, hakuna nabii mkubwa kuliko Mussa lakini Mungu alimpumzisha akampa Joshua akamalizie kazi, kwahiyo hata sasa tunaye Freeman Mbowe amefanya kazi kubwa sana, ni kama Mussa amewatoa wana wa Israel sasa tuko jangwani, tunataka kutoka hapa kwenda nchi ya ahadi ya Kaanani, tunayemhitaji ni Joshua na Joshua ni Tundu Lissu"- Mdude.
Mwanaharakati wa haki za binadamu na kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mdude Nyagali akizungumza na wanahabari mkoani Mbeya kuhusu uchaguzi wa ndani wa CHADEMA.
View attachment 3181597
Mungu alimuadhibu Mussa ndio maana aliiona Kanaani kwa mbali tu. Kwa hiyo Chadema nayo inataka kumuadhibu Mbowe?Wakuu,
"Kwahiyo ukisoma Biblia yote na imeandikwa kabisa, hakuna nabii mkubwa kuliko Mussa lakini Mungu alimpumzisha akampa Joshua akamalizie kazi, kwahiyo hata sasa tunaye Freeman Mbowe amefanya kazi kubwa sana, ni kama Mussa amewatoa wana wa Israel sasa tuko jangwani, tunataka kutoka hapa kwenda nchi ya ahadi ya Kaanani, tunayemhitaji ni Joshua na Joshua ni Tundu Lissu"- Mdude.
Mwanaharakati wa haki za binadamu na kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mdude Nyagali akizungumza na wanahabari mkoani Mbeya kuhusu uchaguzi wa ndani wa CHADEMA.
View attachment 3181597
Kuna wakati huwa ana matusi sana kama Sativa. Wakitulia wana points nzuri.Mdude ana busara kuliko Wenje, Boniyai, Kigaila, Yeriko na Ntobi ukiwachanganya
Correct.H
HAya maneno matupu
kibaraka anaumgwa mkono na wavuta bangi kama hawa dah!Wakuu,
"Kwahiyo ukisoma Biblia yote na imeandikwa kabisa, hakuna nabii mkubwa kuliko Mussa lakini Mungu alimpumzisha akampa Joshua akamalizie kazi, kwahiyo hata sasa tunaye Freeman Mbowe amefanya kazi kubwa sana, ni kama Mussa amewatoa wana wa Israel sasa tuko jangwani, tunataka kutoka hapa kwenda nchi ya ahadi ya Kaanani, tunayemhitaji ni Joshua na Joshua ni Tundu Lissu"- Mdude.
Mwanaharakati wa haki za binadamu na kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mdude Nyagali akizungumza na wanahabari mkoani Mbeya kuhusu uchaguzi wa ndani wa CHADEMA.
View attachment 3181597
tunasubiri kujua tamko kama atagombea, akigombea huyo ni bonge la TISS na tutajua kwa nini serikali hutoa ruzuku kwa wapinzaniUkilijua lengo hasa la kuanzisha kwa vyama vya Upinzani hapa Tz mwaka 1992, utakuwa unajua wazi kabisa kwamba Mbowe hawezi kuacha kugombea Uenyekiti huko Chadema.
Viongozi wengi wa vyama vya upinzani ni Mapandikizi ya Tiss, ukianzia:- Augustine Lyatonga Mrema, Cheyo, Lipumba, Mabere Marando, na hata huyo FAM