Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivyo simba wao nikuwatafuna tu bila huruma kwakuwa kwao ni kitoweo,hivyo mmehalalisha huyo mnyama kuonewa hata vindama vya simba sio?Kila kesi anashindwa ila nyumbu wanamwona eti naye ni Wakili mzuri!! 🤣🤣
Atapelekwa mirembe akafanyiwe uchunguzi kama kweli ni kichaa ila kama ni bange kuna chumba kimoja ataingizwa kuna robot zitamtia viboko hadi bange itaishaNashauri yapo mambo mwanadamu anafanya yanafikirisha sana, mdude apelekwe kwanza milembe akapimwe juu ya afya yake ya akili.
#How can court compete with madman!
Hata ingekua ni wewe unaweza kweli kumpa mdude hata ubalozi wa nyumba 3? Maana 10 nyingiUYU MDUDE naomba kujua ananufaikaje na na Chadema mana uyu mwamba kapitia mengi sana mengi mengi lkn ajawai kuwa Mbunge wala Diwani ata mwenyekit serikali z mitaa au kuna cheo ndani ya Chadema mbona anajitoa kafala sana . Au Ndio anapenda tu watu wamuongelee kama ivi anajisikisia Rambo Rambo ivi!!!
Majaji maafisa vipenyo wa kutosha kulinda maslahi ya CCM.Kwani nani hajui kama musa pomo ni wakala wa ile idara
Muache afunzwe adabuNashauri yapo mambo mwanadamu anafanya yanafikirisha sana, mdude apelekwe kwanza milembe akapimwe juu ya afya yake ya akili.
#How can court compete with madman!
Kila kesi anashindwa ila nyumbu wanamwona eti naye ni Wakili mzuri!! 🤣🤣
Madawa gani hayo ya kulevya au?..Adv.Mwabukusi ndiye aliyemtetea Mdude ktk kesi ya kubambikiwa ya madawa.
..sio kweli kwamba Adv.Mwabukusi ameshindwa kesi zote.
Madawa gani hayo ya kulevya au?
Kumbe Mdude alishawahi shitakiwa kwa kesi ya madawa? Ndio maana ana akili za kimadawadawa atakuwa ameshaathirika na hayo madawa inabidi wampeleke Hospitali ya Mirembe kwa uchunguzi zaidi
Lakini ukiangalia matendo ya Mdude inaonekana ameshaathirika na hayo madawa basi ni kweli atakuwa anatumia au alishatumia...Polisi walimchomekea madawa ya kulevya wakamshtaki na kumuweka ndani kwa muda mrefu. Wakili aliyemtetea Mdude ktk kesi hiyo alikuwa ni Mwabukusi.
Kwa mahakama hizi za majaji machawa unategemea ashinde?Unapeleka porojo za X mahakamani unategemea ushinde-utakuwa kichaa
Anatumia madawa au anawakosoa bila hofu viongozi majizi?Lakini ukiangalia matendo ya Mdude inaonekana ameshaathirika na hayo madawa basi ni kweli atakuwa anatumia au alishatumia.
Anachosha sana, mwishowe chama kije onekana kinamtuma kutukana viongozi kwa kila anapofanya upuuzi wake makada wa chadema wanambeba kumbe ni mabange ya mtu binafsi.Hata viongozi wa Chadema wamemterekeza hawana habari naye!!
Bora mvuta bangi kuliko jizi la kura.Anachosha sana, mwishowe chama kije onekana kinamtuma kutukana viongozi kwa kila anapofanya upuuzi wake makada wa chadema wanambeba kumbe ni mabange ya mtu binafsi.
uwe na adabu kdgTanzania hakuna mahakama bali kuna genge la wahuni