Pre GE2025 Mdude Nyagali aibukia Ikungi akutana na Tundu Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Mpigania Uhuru, Haki na Demokrasia Nchini Tanzania, ambaye idadi ya kukamatwa kwake na Polisi haihesabiki, Mdude Nyagali ameonekana Ikungi Mkoani Singida wakati wa Mapokezi Makubwa ya Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu.


Wawili hao waliteta kidogo namna watakavyoendeleza mipango ya Chama chao.

Pia soma:
 
Ndege wafananao huruka pamoja.
 
Picha la kibabe
 
Ikungi kwa mheshimiwa Tundu Mobutu Seseseko Lisu sasa kunakuwa kama rasmi ndio makao makuu mapya ya Chadema kama kulivyokuwa gbadolite ya Mobutu Seseseko
 
Reactions: Tui
Majembe yasiyotishwa na kutishika na vyombo vya dola yamekutana, mungu aeendelee kuyalinda na kuyatunza
 
Mashujaa wetu. Mkoloni amejaribu kuwanyamazisha lakini amekwama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…