Mdude Nyagali atunga kitabu kuhusu Mateso na unyama aliofanyiwa kwenye Utawala wa Awamu ya 5, kuzinduliwa Machi 5, 2022

Mdude Nyagali atunga kitabu kuhusu Mateso na unyama aliofanyiwa kwenye Utawala wa Awamu ya 5, kuzinduliwa Machi 5, 2022

nyie uvccm mnasubiri zile rushwa za elfu tanotano za wagombea udiwani na mifuko ya chumvi eeee !!
chadema ni wabunifu wa kuibia watu kuna wizi mwingine mpya kaanzisha tobo lissu kule
 
jamaa tangu atoke na kwenda kuongea utumbo pale barakuda amenyooka kawa kimya hii inaonyesha amesalim amri hata ropoka tena lasivyo anarudi kwenda kukalia mikuyenge ya watu tena hapo alipo marinda yote walishayatatua
Kwahiyo unafurahia?

#MaendeleoHayanaChama
 
Kama ungependa kufahamu namna awamu ya 5 ilivyosigina HAKI ZA BINADAMU nchini Tanzania, basi hutakiwi kukosa nakala ya kitabu kilichotungwa na Mhanga namba 5 wa Utawala ule aitwaye Mdude Nyagali, ndani ya kitabu hicho mmefunuliwa kila unyama na uchafu wote uliofanywa katika kusigina katiba ya Tanzania bila kujali lolote, baadhi ya wahusika wa unyama huo wameanikwa hadharani kwa majina yao matatu matatu.

Uzinduzi wa kitabu hicho ambacho inasemekana kinagombewa mithili ya Sukari enzi za RTC, utafanyika tarehe 5 ya mwezi wa tatu mwaka 2022, uzinduzi huo utafanyika dunia nzima , kwa njia ya kisasa ONLINE.

View attachment 2135154
Kutunga kitabu??????
Kama simulizi ni ya kweli basi ameandika kitabu na sio kutunga
 
Kama ungependa kufahamu namna awamu ya 5 ilivyosigina HAKI ZA BINADAMU nchini Tanzania, basi hutakiwi kukosa nakala ya kitabu kilichotungwa na Mhanga namba 5 wa Utawala ule aitwaye Mdude Nyagali, ndani ya kitabu hicho mmefunuliwa kila unyama na uchafu wote uliofanywa katika kusigina katiba ya Tanzania bila kujali lolote, baadhi ya wahusika wa unyama huo wameanikwa hadharani kwa majina yao matatu matatu.

Uzinduzi wa kitabu hicho ambacho inasemekana kinagombewa mithili ya Sukari enzi za RTC, utafanyika tarehe 5 ya mwezi wa tatu mwaka 2022, uzinduzi huo utafanyika dunia nzima , kwa njia ya kisasa ONLINE.

View attachment 2135154
Aisee inasikitisha sana kuona kiongozi mmoja anabakia midomoni mwa wananchi hata baada ya kufariki.
 
Hata mimi nasubiri hicho kitabu,kuna audio yake nilisikiliza jamaa anakwambia alikuwa anapigwa huku wimbo wa dini umekwa sauti ya juu,halafu chumba cha pili kuna mwanamke analia kwa kipigo cha maumivu akiomba wasimuue aisee..

Jamaa anasema ile sauti mpaka leo inamtesa sababu hakujua huyo mwanamke ni nani na alikuwa na kosa gani,na je aliuawa au alipona..

Mwendazake popote ulipo hukufaa kuwa binadamu bali wakala wa shetani..
Hakika Mungu hapendi manyanyaso
 
nyie uvccm mnasubiri zile rushwa za elfu tanotano za wagombea udiwani na mifuko ya chumvi eeee !!
Wewe Mwakifyale, Join the chain.

Tuma pesa mamangi wale bata.

IMG_20220301_084206.jpg


IMG_20220301_084210.jpg
 
umeishia darasa la ngapi ?
unachanganya kinoma kama ametunga nisawa maana hata shigongo anatunga hadithi tamu watu wanazigombania kama sukari kipindi cha zamani huyu hawezi kuandika zaidi ya kutunga uongo tu
 
jamaa tangu atoke na kwenda kuongea utumbo pale barakuda amenyooka kawa kimya hii inaonyesha amesalim amri hata ropoka tena lasivyo anarudi kwenda kukalia mikuyenge ya watu tena hapo alipo marinda yote walishayatatua
Kwani yako mbona yametatuka ulikiwa jela?
 
Ivi Kuna asie kua na mapunguvu?
Kira ukipitia tawala zote,viongozi wote utakuta jamii furani inalalamika KUHUSU utawala,wa mabavu,uonevyo,unyanyasaji nk.jamii nyingi humpongeza na kumuombea,kwa mema alioyo wafanyia.
Ama kweli hii ndo DUNIA NA WALIMWENGU.
BIE YA KITABU?

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom