Mdude Nyagali bado anashikiliwa baada ya Mbowe na Sugu kuachiwa huru

Mdude Nyagali bado anashikiliwa baada ya Mbowe na Sugu kuachiwa huru

Ningependa akapimwe akili kwanza ili ijulikane kama ni mzima kichwani.Maana lugha na maneno yake anayotoaga ni machafu sana na ambayo hayawezi kutolewa na mtu mwenye utimamu na afya njema ya akili.
Kwa hawa wataalamu wanao chukua mkojo eti wakaupime ili wapate majibu ya utimamu wa akili ya mtu au kuna wataalamu kutoka Misri?
 
Siasa ni Sayansi

Hatimaye Mdude Nyagali kaingia kwenye 18 za Chama Dola

Wakati Viongozi Wote wa Chadema wakiachiliwa yeye ameendelea Kushikiliwa

Uingiapo Siasani uwe na Maarifa ya kutosha 😀
Kabisa.... Siasa ni maarifa, jamaa yuko too manual, anafanya siasa za enzi za zama za mawe.

Hata Lissu, ana siasa za maneno ya kashfa thinking that he will survive the test of time.

Sativa ndio kabisaaa, the clock is ticking
 
Siasa ni Sayansi

Hatimaye Mdude Nyagali kaingia kwenye 18 za Chama Dola

Wakati Viongozi Wote wa Chadema wakiachiliwa yeye ameendelea Kushikiliwa

Uingiapo Siasani uwe na Maarifa ya kutosha 😀
SASA NDIYO ATAIPATA FRESH HACHOMOKI KIRAHISI MBONA ATAHENYA
 
Ningependa akapimwe akili kwanza ili ijulikane kama ni mzima kichwani.Maana lugha na maneno yake anayotoaga ni machafu sana na ambayo hayawezi kutolewa na mtu mwenye utimamu

Namchukia sana yule jamaa kwa maneno na lugha zake za matusi
This time around dola isifanye makosa, impige na non bailable offence, asitoke kwa dhamana
 
Siasa ni Sayansi

Hatimaye Mdude Nyagali kaingia kwenye 18 za Chama Dola

Wakati Viongozi Wote wa Chadema wakiachiliwa yeye ameendelea Kushikiliwa

Uingiapo Siasani uwe na Maarifa ya kutosha 😀
huenda wamemkuta na madawa ya kulevya kama vile cha Arusha n.k🐒
 
Siasa ni Sayansi

Hatimaye Mdude Nyagali kaingia kwenye 18 za Chama Dola

Wakati Viongozi Wote wa Chadema wakiachiliwa yeye ameendelea Kushikiliwa

Uingiapo Siasani uwe na Maarifa ya kutosha 😀
Ameingia kwenye 18 mara ngapi? Wanakaa naye halafu watamuachia tu.
 
Siasa ni Sayansi

Hatimaye Mdude Nyagali kaingia kwenye 18 za Chama Dola

Wakati Viongozi Wote wa Chadema wakiachiliwa yeye ameendelea Kushikiliwa

Uingiapo Siasani uwe na Maarifa ya kutosha 😀
Maarifa mazuri kila mmoja awe chama tawala. Maana hakuna chama au kitu chochote duniani kilidumu maisha,
 
Siasa ni Sayansi

Hatimaye Mdude Nyagali kaingia kwenye 18 za Chama Dola

Wakati Viongozi Wote wa Chadema wakiachiliwa yeye ameendelea Kushikiliwa

Uingiapo Siasani uwe na Maarifa ya kutosha 😀
Ndio vyema akatuonyeshe kile kifaa cha kutafutia wahanga kwenye kifusi kariakoo!
 
Nakubaliana na maneno ya BABA Mchungaji Msigwa kuwa CHADEMA ni Genge la Wahuni.
 
Kuna umbwa amependd huu uharo ulioandika. Tupo hapa na tutaona kama hilo litafanikiwa.
Ni discretion ya dola kuandaa charge sheet, halafu upelelezi utaendelea kwa miaka kadhaa huko mbele
 
kulikuwa na sababu gani ya kuanza kupigwa wakati anachomolewa kule kwenye gari? sikuona kama alikuwa ana resist arrest, hayo mangumi aliyokuwa anashindiliwa yalikuwa ya nini?
 
Ukiangalia comments hapa!!!!
Hapa ndiyo ninapoona watanzania ni madudu ya sayari nyingine isiyostaarabika kabisa! Huyu Mdude kakosea nini?
Kazoea tu kuwasemea nyie ukweli kwa watawala majambazi!
Wezi wa bandari mnawakenua kama ngiri
Wezi wa misitu mnawaangalia kama nyumbu wanaoliwa mto mara
Wezi wa airport zetu mnawakodoelea kama mafisi wanaoota kuuona mfupa kisimani
CAG anasema 1.7trilioni za kodi zenu zimetoroshwa na hazionekani kwenye mahesabu mko tu mnaimba kama ngedere wa mtoni khe ke khe mama anaupiga mwingi!
Hata alipopanda ndege yenu kwenda brazil kudalalia raslimali zenu mpo tu kama misokwe ya gombe RUBBISH!
Wakenya hamieni huku kuna misukule tu!!
 
Back
Top Bottom