Ni kweli wewe ni Malaya tu wa kisiasaMimi siyo chawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli wewe ni Malaya tu wa kisiasaMimi siyo chawa
Chawa wa mama watakupinga.Ukiangalia comments hapa!!!!
Hapa ndiyo ninapoona watanzania ni madudu ya sayari nyingine isiyostaarabika kabisa! Huyu Mdude kakosea nini?
Kazoea tu kuwasemea nyie ukweli kwa watawala majambazi!
Wezi wa bandari mnawakenua kama ngiri
Wezi wa misitu mnawaangalia kama nyumbu wanaoliwa mto mara
Wezi wa airport zetu mnawakodoelea kama mafisi wanaoota kuuona mfupa kisimani
CAG anasema 1.7trilioni za kodi zenu zimetoroshwa na hazionekani kwenye mahesabu mko tu mnaimba kama ngedere wa mtoni khe ke khe mama anaupiga mwingi!
Hata alipopanda ndege yenu kwenda brazil kudalalia raslimali zenu mpo tu kama misokwe ya gombe RUBBISH!
Wakenya hamieni huku kuna misukule tu!!
Double kiki hazijawahi kuacha afya ya akili salamaUmeamka na pombe badala kunywa supu unafakamia tena double kick, ndiyo shida ya pombe za offer hizo.
Si unaona huyu mshikaji anavyotoa boko siku hizi tofauti na zamani alivyokuwa na anakunywa beer na whiskey.Double kiki hazijawahi kuacha afya ya akili salama
Njia pekee ya kumnyamazisha Mdude ni kumuua, Mdude hatonyamaza kwa vitisho vya RPC wa Songwe ambaye uteuzi wake utatenguliwa wakati wowoteSiasa ni Sayansi
Hatimaye Mdude Nyagali kaingia kwenye 18 za Chama Dola
Wakati Viongozi Wote wa Chadema wakiachiliwa yeye ameendelea Kushikiliwa
Uingiapo Siasani uwe na Maarifa ya kutosha 😀
Siasa ni Sayansi
Hatimaye Mdude Nyagali kaingia kwenye 18 za Chama Dola
Wakati Viongozi Wote wa Chadema wakiachiliwa yeye ameendelea Kushikiliwa
Uingiapo Siasani uwe na Maarifa ya kutosha 😀
WEWE NAWE NI KAMA MDUDE TU WOTE HAMNA AKILIUkiangalia comments hapa!!!!
Hapa ndiyo ninapoona watanzania ni madudu ya sayari nyingine isiyostaarabika kabisa! Huyu Mdude kakosea nini?
Kazoea tu kuwasemea nyie ukweli kwa watawala majambazi!
Wezi wa bandari mnawakenua kama ngiri
Wezi wa misitu mnawaangalia kama nyumbu wanaoliwa mto mara
Wezi wa airport zetu mnawakodoelea kama mafisi wanaoota kuuona mfupa kisimani
CAG anasema 1.7trilioni za kodi zenu zimetoroshwa na hazionekani kwenye mahesabu mko tu mnaimba kama ngedere wa mtoni khe ke khe mama anaupiga mwingi!
Hata alipopanda ndege yenu kwenda brazil kudalalia raslimali zenu mpo tu kama misokwe ya gombe RUBBISH!
Wakenya hamieni huku kuna misukule tu!!
KAMA MNATAKA KUFANYA HIVYO MWAMBIE MBOWE TU HASHINDWIKITU WAMUULIZE WANGWE NA MAWAZO WAKO WAPI MBOWE NOMANjia pekee ya kumnyamazisha Mdude ni kumuua, Mdude hatonyamaza kwa vitisho vya RPC wa Songwe ambaye uteuzi wake utatenguliwa wakati wowote
Nimekudharau sana!KAMA MNATAKA KUFANYA HIVYO MWAMBIE MBOWE TU HASHINDWIKITU WAMUULIZE WANGWE NA MAWAZO WAKO WAPI MBOWE NOMA
Wewe wenzio wanateswa na madhulumat umebakia kinywa kama chewa!WEWE NAWE NI KAMA MDUDE TU WOTE HAMNA AKILI
Utakuwa mke wa Mafwele tu wewe kwa sababu tunajua ana chawa wengi sana nyumbani! kama wake kijana huna aibu kuolewa na mwanaume mwenzio! njaa gani hii!??WEWE NAWE NI KAMA MDUDE TU WOTE HAMNA AKILI
Wanaokalia nchi kimabavu bila ridhaa ya watuNa nani?
Kila mara yeye kwenye mitandao huwa anasema atawapiga wakienda kumkamata sasa amekipata cha mtema kuni!! Alipata kipigo cha mbwa mwitu kama ambavyo Sugu alichezeaga kipigo kwa sababu ya maneno yake!kulikuwa na sababu gani ya kuanza kupigwa wakati anachomolewa kule kwenye gari? sikuona kama alikuwa ana resist arrest, hayo mangumi aliyokuwa anashindiliwa yalikuwa ya nini?
anawahi ratiba ya mikutanoKila Siku Mbowe huwa anagoma kuwa wa kwanza kutoka police
This time imekuwa tofauti kidogo 🤣
ana uwezo gani wa kuwapiga ili hali hata sisimizi anamzidi maarifa? hao polisi waache kutishiwa nyau na waache kumuumiza bila sababu za msingiKila mara yeye kwenye mitandao huwa anasema atawapiga wakienda kumkamata sasa amekipata cha mtema kuni!! Alipata kipigo cha mbwa mwitu kama ambavyo Sugu alichezeaga kipigo kwa sababu ya maneno yake!
porisNa nani?
Umenena kweli kuwa wewe siyo chawa. Hatua ya uchawa wewe ulikwishaivuka zamani sana.Mimi siyo chawa