comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
"Watekaji wawili walikuwa wanajihami kwa mapanga lakini askari polisi zaidi ya 20 walishindwa kuwadhibiti wahalifu hao wawili wenye mapanga na kulazimika kuwapiga risasi.
Yani askari zaidi ya 20 wanashindwa kuwadhibiti wahalifu wawili wenye mapanga na kulazimika kuwaua kwa mbali kwa kuwapiga risasi?
Ndio maana nasema hili jeshi letu la polisi ni bovu limepoteza weledi na ufundi kama lilivyokuwa miaka ya nyuma. Kwa sasa jeshi letu la polisi linatumia nguvu nyingi akili kisoda.
Ndio maana tunataka serikali mpya itakayolifanyia ukarabati jeshi hili. Hii ni aibu." Ameandika mdude kupitia ukurasa wake wa X

Yani askari zaidi ya 20 wanashindwa kuwadhibiti wahalifu wawili wenye mapanga na kulazimika kuwaua kwa mbali kwa kuwapiga risasi?
Ndio maana nasema hili jeshi letu la polisi ni bovu limepoteza weledi na ufundi kama lilivyokuwa miaka ya nyuma. Kwa sasa jeshi letu la polisi linatumia nguvu nyingi akili kisoda.
Ndio maana tunataka serikali mpya itakayolifanyia ukarabati jeshi hili. Hii ni aibu." Ameandika mdude kupitia ukurasa wake wa X