Mdude Nyagali: Polisi walikosea kuwaua walioteka watoto Mwanza

Kuwakamata watekaji wakiwa hai na kuwahoji, inasaidia zaidi kukomesha tatizo kuliko kuwapiga risasi.

Ndio anachomaanisha Mdude, hashabikii watekaji. Weledi wa polisi ni kumkamata mtuhumiwa akiwa hai, kumuua kabla ya kumkamata siyo faida.
 
Hakuna msaada wowote watakaoutoa. Watuhimiwa wa kutosha wapo magerezani na wengine wanaachiwa huru na bado matukio yale yale yanaendelea kutokea
Kuwakamata watekaji wakiwa hai na kuwahoji, inasaidia zaidi kukomesha tatizo kuliko kuwapiga risasi.

Ndio anachomaanisha Mdude, hashabikii watekaji. Weledi wa polisi ni kumkamata mtuhumiwa akiwa hai, kumuua kabla ya kumkamata siyo faida.
 
Hakuna msaada wowote watakaoutoa. Watuhimiwa wa kutosha wapo magerezani na wengine wanaachiwa huru na bado matukio yale yale yanaendelea kutokea
Walikuwa na uthibitisho gani kuwa hao ni watekaji wakati hawakuwakamata na kujiridhisha?

Ipo siku utakutwa nyumbani na watoto wako umeshika panga, utapigwa risasi kwamba ni mtekaji.
 
Mkuu nawe ni wale wale. Watu wamekutwa na watoto waliotekwa, wametakiwa wajisalimishe wakagoma bado tu unakaza fuvu

Unaleta mifano ya watoto wangu,Kwani kuna mtu aliniripoti nimeiba mwanae?
Walikuwa na uthibitisho gani kuwa hao ni watekaji wakati hawakuwakamata na kujiridhisha?

Ipo siku utakutwa nyumbani na watoto wako umeshika panga, utapigwa risasi kwamba ni mtekaji.
 
Tukisema Chadema wana urafiki na majambazi yataanza maneno.

Maana huyu mwanachama wao mwandamizi anawatetea kina kaka jambazi.
 
Naye Alishiriki Kwenye Hiyo Operesheni Ili Atueleze Kwanini Hawakutakiwa Kuuliwa Hao Watekaji??
 
Kila kitu kinafaida na hasara. Hizi haki haki ndiyo zimefanya nchi kama South Africa ziingie kwenye uhalifu wa kutisha na kushindwa kuudhibiti.
 
Polisi wamefanya kazi yao vizuri hao watoto wangekatwa mapanga ingekuwa aibu kwa Polisi
 
Yeye Ashukuru polisi hawajamuua hadi leo, aache kushangaa wenzie kuuawa.
 
Ni kweli kabisa! Wangewapiga risasi za miguuni tu ingetosha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…