Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Siyo hekima tu, jamaa ni jasiri sana. Kuna muda huwa napata wasiwasi labda jamaa ni infiltration, maana siyo kwa ujasiri huo.Ana hekima kuliko watu wanaojifanya wanajua sana siasa JF
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo hekima tu, jamaa ni jasiri sana. Kuna muda huwa napata wasiwasi labda jamaa ni infiltration, maana siyo kwa ujasiri huo.Ana hekima kuliko watu wanaojifanya wanajua sana siasa JF
Kweli kabisa kapia magumu sana bila kurudi nyuma hasa kwenye utawala wa MwendazakeSiyo hekima tu, jamaa ni jasiri sana. Kuna muda huwa napata wasiwasi labda jamaa ni infiltration, maana siyo kwa ujasiri huo.
Walikuwa nani tujuze tafadhali leo tupate somo jipyaMusa hakuwah kuwa nabii wala joshua
Hahaha ni ajabu sana hawataki uchaguzi, wanataka mgombea apite bila kupingwa, APEWE, APISHWE, hawataki demokrasia.Mdude anapotosha biblia kwa maslahi yake. Mwenyezi Mungu hakumwambia Musa ampishe Joshua, bali alimuadhibu Musa asiingie nchi ya Kaanan kwa kosa,lile la kule kwenye issue ya kuwapa maji wana wa israel katika mwamba , hivyo alimuagiza amkabidhi Joshua mikoba kisha yeye akapanda hadi kilele cha mlima Nebu akafa huko na akazikwa na malaika wala hakuna anayejua kaburi lake.
Lissu wao ameingizwa chaka na wapiga kelele za mtandaoni hana option bali kukabili sanduku la kura. Mtasema hadi siku ya uchaguzi lakini hapishwi mtu.
Kasome biblia haruni ndo alikua nabii wa MusaWalikuwa nani tujuze tafadhali leo tupate somo jipya
Mungu alimchagua Musa kuwatoa Wana wa Israel utumwani Misri Musa akamuambia Mungu yeye hajui kuongea anakigugumizi ndio Mungu akamwambia Musa ndugu yako Haruni ataongea baadala yako yaani Musa atakuwa anapokea maagizo toka kwa Mungu kisha anampa maagizo hayo Haruni akamwambie Farao (Firani)Kasome biblia haruni ndo alikua nabii wa Musa
Lakini inasemekana wasiomtaka wengi ni wanaharakati wa mtandaoni wengi wao ni wale wanaoshi nje ya nchi na ambao ndio waliomshawishi Lisu kugombeaMbowe anaheshimika sana, lkn wanachadema hawamtaki kwa sasa.
Msimamo wake yeye anaenda na nani kati ya Lisu na Mbowe?
Lakini inasemekana wasiomtaka wengi ni wanaharakati wa mtandaoni wengi wao ni wale wanaoshi nje ya nchi na ambao ndio waliomshawishi Lisu kugombea