Mdude Nyangali ni mpinzani anayechafua taswira ya upinzani

Mdude Nyangali ni mpinzani anayechafua taswira ya upinzani

kagoshima

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
2,887
Reaction score
5,687
Watu wa aina ya Mdude Nyangali wa CHADEMA wapo sana kwenye jamii na tabia zao mara nyingi huwa zinakereketa na kujenga mtizamo hasi.

Siasa za Mdude Nyangali sio za kiuanaharakati, sio za kistaarabu, sio za kushindana kwa hoja. Siasa za huyo jamaa wa CHADEMA ni za kishari, mihemko na kutukana haijalishi ni ni nani anayemlenga.

Hivi hakuna idara ya kusimamia maadili huko CHADEMA. Je tuseme tabia ya Mdude na siasa zake zinakubalika huko CHADEMA? Kama la na ndivyo ninavyofikiri mmefanya nini kurekebisha tabia zisizokubalika za huyo bwana mdogo?

Msipojirekebisha sahau ku achieve political objectives zenu.

Conflict of interest
Mimi ni mpenda haki, so siipendI CCM na sio mwanachama chama chochote cha upinzani . Sisi ndiyo wale tunaoibuka mitandaoni haki inapoporwa .
 
Kama wahusika waliomteka kipindi kile na kimtesa wangetiwa hatiani! Angeongea hayo ya kuongea? Je, hayo anayosema yana ukweli, au ni maneno ya upotoshaji?

Na kama ni ya upotoshaji, kwa nini msimjibu kwa hoja! Badala ya kutishia watu? Hivi inawezekana kweli ukasifiwa na kila mtu hapa duniani!!
 
Watu wa aina ya Mdude nyangali wa chadema wapo sana kwenye jamii na tabia zao mara nyingi huwa zinakereketa na kujenga mtizamo hasi.

Siasa za mdude nyangali sio za kiuanaharakati, sio za kistaarabu, sio za kushindana kwa hoja. Siasa za huyo jamaa wa chadema ni za kishari, mihemko na utukana haijalishi ni ninani anayemlenga.

Hivi hakuna idara ya kusimamia maadili huko chadema. Je tuseme tabia ya mdude na siasa zake zinakubalika huko chadema? Kama la na ndivyo ninavyofikiri mmefanya nini kurekebisha tabia zisizokubalika za huyo bwana mdogo?

Msijpojirekebisha sahau ku achieve political objectives zenu.

Conflict of interest
Mie NI MPENDA haki , so siipendI CCM na Sio mwanachama chama chochote cha upinzani . Siye ndo walee tunaoibuka mitandaoni haki inaporwa .
yule dogo nahisi anavuta bangi hile inaitwa skanka
 
Namtafakari mleta mada na siasa zake za kistarabu zilizoididimiza bongo zaidi ya miaka 60.

Najaribu kutafakari uombaji wake haki kwa ustarabu jinsi ulivyotuchelewesha kuiona Nuru.

Haki haiombwi bali hupiganiwa, kwenye mapigano ndio huibuka watu kama akina mdude nyagali.

Kumbuka ustarabu kwa watu wasio wastarabu ni kujionesha na kukubali udhaifu wako.

Mwache ana machungu mengi na kapitia madhila kibwena, mwache awesemee makondoo wasio jitambua.

Mwache tu..........................
 
Watu wa aina ya Mdude nyangali wa chadema wapo sana kwenye jamii na tabia zao mara nyingi huwa zinakereketa na kujenga mtizamo hasi.

Siasa za mdude nyangali sio za kiuanaharakati, sio za kistaarabu, sio za kushindana kwa hoja. Siasa za huyo jamaa wa chadema ni za kishari, mihemko na utukana haijalishi ni ninani anayemlenga.

Hivi hakuna idara ya kusimamia maadili huko chadema. Je tuseme tabia ya mdude na siasa zake zinakubalika huko chadema? Kama la na ndivyo ninavyofikiri mmefanya nini kurekebisha tabia zisizokubalika za huyo bwana mdogo?

Msijpojirekebisha sahau ku achieve political objectives zenu.

Conflict of interest
Mie NI MPENDA haki , so siipendI CCM na Sio mwanachama chama chochote cha upinzani . Siye ndo walee tunaoibuka mitandaoni haki inaporwa .
Nchi hii itakombolewa na viongozi kama kina Mdude na watema cheche kama yeye:

Tusilaumiane: Wako wapi kina Nyerere, Maalim Seif, Mtikila, Julius Malema au kina Tutu

Kwenye list magwiji hao wana cha kufanana na huyo anayeonekana kukukosesha usingizi.
 
..labda mtoa mada ungetuonyesha mfano wa mpinzani unayependezwa na siasa zake.

..kwa upande mwingine Mdude sio mtumishi wa umma, kwa maana ya serikali, au mtu aliyepigiwa kura na wananchi, hivyo huwezi kumpangia au kuhoji siasa zake.
 
Watu wa aina ya Mdude nyangali wa chadema wapo sana kwenye jamii na tabia zao mara nyingi huwa zinakereketa na kujenga mtizamo hasi.

Siasa za mdude nyangali sio za kiuanaharakati, sio za kistaarabu, sio za kushindana kwa hoja. Siasa za huyo jamaa wa chadema ni za kishari, mihemko na utukana haijalishi ni ninani anayemlenga.

Hivi hakuna idara ya kusimamia maadili huko chadema. Je tuseme tabia ya mdude na siasa zake zinakubalika huko chadema? Kama la na ndivyo ninavyofikiri mmefanya nini kurekebisha tabia zisizokubalika za huyo bwana mdogo?

Msijpojirekebisha sahau ku achieve political objectives zenu.

Conflict of interest
Mimi ni mpenda haki, so siipendI CCM na sio mwanachama chama chochote cha upinzani . Sisi ndiyo wale tunaoibuka mitandaoni haki inaporwa .

Hapo mwisho Ni dalili ya woga. Uhuru wako wa kueleza hoja zako na wewe kuwa mwanachama wa chama au Sio havipingani. So jimwage Tu.
 
Ilimwuumizaje. Serikali ya JPM Ni pamoja na mama. Hivi mdude alikuwa mwema. Akaonewa, akatoka gerezani , ndo kabadilika kaanza matusi? Acha kutetea upumbavu. Msaidieni awe binadamu.
Msaidie basi wewe, ukiangalia posts zake kuhusu upigaji wa sensa wewe unaona ni sawa tu??? Makarani wengi wamepigwa sana hela wewe unaunga mkono upigaji? Au ndio mnalamba asali ya Tanzania jamaniii huwezi sikia maumivu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom