Hakuna dhamana na hukumu yake ni kunyongwa hadi kufa!
MkuuYana mwisho haya.
Mbowe kesi ya Ugaidi, Mwabukusi Uhaini.
TLS iko kimya, kuna faida gani ya kuwepo TLS?
Tulioshuhudia ya 1980s tunakimbilia Mlimani magotini pake Mungu wa mbinguni!Mungu alivushe taifa salama.
Hapa tulipo si pazuri. Misuli inatumika dhidi ya raia.
Ukihoji ama kukosoa unaundiwa zengwe ili ufe
Mbona akina Hanspope hawakunyongwa au Sheria zimebadilika?Hakuna dhamana na hukumu yake ni kunyongwa hadi kufa!
Blood diamond movie!
Sent using Jamii Forums mobile app
Pascal MayallaMbona akina Hanspope hawakunyongwa au Sheria zimebadilika?
cc: Pascal Mayalla
DPP anayo nafasi ya kujiepusha na kikombe hiki kwa kuikataa hii hati ya mashitaka.
Ndio tumefika huko?Hakuna dhamana na hukumu yake ni kunyongwa hadi kufa!
Blood diamond movie!
Sent using Jamii Forums mobile app
Taarifa za Uhaini zikieneaga Uchumi unayumbaga ujueSerikali isidhani inawatishia raia. Inazidi kuwapa ujasiri wa kudai haki maana seems hekima na busara siyo amana ya uongozi tena
DPP yupi kwani? Huyo ambaye wskati wa kesi ya kuhoji tafsiri ya Mkataba wa DPW aliamua kuunda kesi pembeni ili kumvua Mwabukusi uwakili?DPP anayo nafasi ya kujiepusha na kikombe hiki kwa kuikataa hii hati ya mashitaka.
Ila kama ni network moja na mfumo mmoja, namuonea huruma Mama Samia anaingizwa chaka na anayengewa chini hadi kwa tuliomuunga mkono.
Hata ile tume ya haki jinai haijamaliza kazi Polisi wanaleta huu upumbavu, mama asikubali kuingiziwa huu mkenge na Polisi waliokosa elimu.
Bado mapema chifu. Tuwape wiki 1, tamko la kisheria inahitaji muda kuliandaaYana mwisho haya.
Mbowe kesi ya Ugaidi, Mwabukusi Uhaini.
TLS iko kimya, kuna faida gani ya kuwepo TLS?
Huenda sasa tutajua lugha za kuzungumza hadharani.