Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanyongwe haraka
TLS siyo wapumbavu km nyieYana mwisho haya.
Mbowe kesi ya Ugaidi, Mwabukusi Uhaini.
TLS iko kimya, kuna faida gani ya kuwepo TLS?
Ripoti ya Uchunguzi/ UpeleleziKwahiyo ukipelekwa Polisi, mpelelezi akishakuhoji tuhuma zako anaandika nani?
kuhoji ni kusema tutamtoa rais madarakani kwa maandamano yasiyo na mwisho? Hakuna anayewasupport wapumbavu km nyie, tunataka amani na maendeleo siyo watu wa kutuvuruia nchi yetu wakitumiwa na vibaraka vya nje.Mungu alivushe taifa salama.
Hapa tulipo si pazuri. Misuli inatumika dhidi ya raia.
Ukihoji ama kukosoa unaundiwa zengwe ili ufe
si wamejitakiaHakuna dhamana na hukumu yake ni kunyongwa hadi kufa!
Blood diamond movie!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamechezea dola au wanauliza kuhusu Hatima ya Bandari ya Taifa?Safi sana wakome kuchezea dola
😅😅😅Malipo ya kuwapigania watu weusi ni kifo.
Kamwe usijaribu kupigania haki za watu weusi.
Ukikuta mtu mweusi na nyoka wanapigwa muokoe nyoka.
we umeweza kujipigania mpaka uwaze kuwapigania watanzania? wamekutuma? Washenzi wale wanapigania matumbo yaoLakini angalau mambo haya yanaweza kusaidia kuwaamsha makondoo ya Tanzania.
Maana kuwapigania Watanzania ni kazi bure kabisa.
'Adhabu ya kosa hilo ni KIFO' na malaika mshikaroho ni Chief Hangaya sasa itakuaje?Kumekucha
msengerema mamako we zuzuWasengerema kama wewe ndio mkosi kwa Taifa.
Me nimekuelewa sanaaaaaKuna wakati nliona giza ghafla nikaona mwanga nasikitika giza tena limetanda...................
'Matola' ntakusabua makofi umesoma vizuri mada mezaniLakini angalau mambo haya yanaweza kusaidia kuwaamsha makondoo ya Tanzania.
Maana kuwapigania Watanzania ni kazi bure kabisa.
Ndogo maana tuna angalia kwa makini chain yote.DPP ndiye kawatuma waunde mashitaka hayo.
Na hata mashogazo kama wewe ni nuhusi kwa taifa.Wasengerema kama wewe ndio mkosi kwa Taifa.