Mdude Nyangali, Wakili Mwabukusi na wenziwe wadaiwa kuundiwa mashtaka ya Uhaini

Mdude Nyangali, Wakili Mwabukusi na wenziwe wadaiwa kuundiwa mashtaka ya Uhaini

DPP anayo nafasi ya kujiepusha na kikombe hiki kwa kuikataa hii hati ya mashitaka.

Ila kama ni network moja na mfumo mmoja, namuonea huruma Mama Samia anaingizwa chaka na anayengewa chini hadi kwa tuliomuunga mkono.

Hata ile tume ya haki jinai haijamaliza kazi Polisi wanaleta huu upumbavu, mama asikubali kuingiziwa huu mkenge na Polisi waliokosa elimu.
Imenishangaza sana, bado tunaendelea kupitia na kuchambua ripoti ya haki jinai! Leo tena tunasikia haya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuwaundia watu kesi za kubumba?
hukuwasikia wakichochea chuki, uhasama, ubaguzi, wakitishia kumwondoa rais kwa njia haramu? Wameundiwa au wamejiundia. Nilishawaambia hakuna jitu pumbavu km Mwabukusi, yule inawezekana siyo raia anataka kutuharibia nchi yetu. Akafie huko gerezani, lofa kabisa
 
hukuwasikia wakichochea chuki, uhasama, ubaguzi, wakitishia kumwondoa rais kwa njia haramu? Wameundiwa au wamejiundia. Nilishawaambia hakuna jitu pumbavu km Mwabukusi, yule inawezekana siyo raia anataka kutuharibia nchi yetu. Akafie huko gerezani, lofa kabisa
Kwa hiyo ukachukia baada ya kuchochewa?
 
Wajinga kama wewe hawakosekani kwenye jamii yoyote.

Halafu unakuta taahira kama huyu familia yake tu hata vitu basics kama bima ya afya hawana lakini kazi kuikatikia mauno Ccm tu.
we ndio pumbavu lisilojitambua, we umejitosheleza kwenu? ungejitosheleza kwa matusi na lugha za kichochezi, kibaguzi, zenye kujenga chuki za wale malofa? Kenge lisilo na haya wewe
 
Mpumbavu baba yako mzazi kwa kutojari matumizi ya condom, angetumia condom dunia isingeletewa kumbe aliyelaaniwa kwa wewe mbwa kabisa.
we ndio hutakiwa kuzaliwa, nashangaa kwanini babako hakuvaa condom, mbwa we. Mtakufa na sonona wapumbavu nyie
 
Kuulizia hatma ya bandari si kesi ipo mahakamani sasa kupindua nchi kumeingiaje hapo?
Ndio kila mtu anashangaa......yaani Tuhuma zilianza mwanzo kabla watu hawajatenda kosa😅😅 kutoka bandari hadi Uhaini.

Sidhani kama kuna mtu ataelewa
 
Hawa na watakaofuata wanakula 9 kavu kama uamsho .huwezi kuchezea amani ya nchi halafu uchekewe pumbavu.
 
Sijawahi kuelewa ni kwa nini Jeshi la Polisi lilishaonyesha udhaifu wa kiwango hiki kutompuuzia mdude nyagali. Linampaisha kila siku hata itafika wakati wakati mdude atageuka kuwa gumzo katika historia ya nchi hii.

Tangu 2015 wanahangaika naye lakini hawajawahi kumtia hatiani, bado hawajifunzi?
 
Back
Top Bottom