Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtego upo hapa, kuwanyima dhamana ni ili kuwaondoa uraiani malengo ya muovu shetani yatimie.Hakuna dhamana na hukumu yake ni kunyongwa hadi kufa!
Blood diamond movie!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba ni Uhaini au Uchochezi anayetafsiri ni DPP siyo PolisiNdio huo wameandika uhaini, lazima file liende kwa DPP ndiye anayetowa kibali cha kesi kwenda mahakamani.
Mkuu unaongea kama vile Rais ni Baba yako.Tena wachinjwe mchana kweupeeeee watu wakiona, ili iwe fundisho kwa wengine,
Yule mjomba aliwatia virobani walikuwa wapoleee kama maji ya mtungi, ila huyu aliwabembeleza sana, sasa sheria na ifanye kazi yake
Mhaini ni kumhaini tu full stop
Nchi ni kama Duka au Biashara yoyote! Ukiharibu Image ya Biashara,unaharibu Biashara! Na Pili maneno huumba! UGAIDI/UHAINI sio jambo la kuchezea chezea!SAFI SANA, hatuwahitaji uraiani hao wahaini, wakaozee huko jela.
Wameshaona hao jamaa ni kikwazo. Kwamba hata kama ni kesi ya uongo itachukua muda kuisha na jambo lao litatimia.Kuna mtego upo hapa, kuwanyima dhamana ni ili kuwaondoa uraiani malengo ya muovu yatimie.
Exactly!Hivi ndivyo nchi zinavyotengeneza wahaini na magaidi halisi.
Sahihi.Nchi ni kama Duka au Biashara yoyote! Ukiharibu Image ya Biashara,unaharibu Biashara! Na Pili maneno huumba! UGAIDI/UHAINI sio jambo la kuchezea chezea!
Huyu Bibi anapenda hicho kiti balaa, akihsi unahatarisha hiyo chance yake lazima aruke na wewe ila anazalisha watu suguHakuna jipya, yote ya zaman, bora wangewaacha waandamane wawapige virungu
😂😂😂 acheni kumtisha Mdude!
Hili jambo halitapoa, shetani atambue hilo, hajui kuwakamata hao ameamsha hasira mpaka za wale waliokuwa wamelala.Wameshaona hao jamaa ni kikwazo. Kwamba hata kama ni kesi ya uongo itachukua muda kuisha na jambo lao litatimia.
😡kuhoji ni kusema tutamtoa rais madarakani kwa maandamano yasiyo na mwisho? Hakuna anayewasupport wapumbavu km nyie, tunataka amani na maendeleo siyo watu wa kutuvuruia nchi yetu wakitumiwa na vibaraka vya nje.
Nimesikitika sana kwa jambo hili.Hili jambo halitapoa, shetani atambue hilo, hajui kuwakamata hao ameamsha hasira mpaka za wale waliokuwa wamelala.
TLS Fofofo, labda wakiiona hii wataamka huko walipo- Uhaini kwa kauli tu? Ama kweli maajabu ya Musa...Yana mwisho haya.
Mbowe kesi ya Ugaidi, Mwabukusi Uhaini.
TLS iko kimya, kuna faida gani ya kuwepo TLS?
Hilo ndio tusi lako kubwa kunitukana wewe Dada Matola ushamaliza kunyonyesha?Hebu katafute basha MMU, acha kudandia wanaume ambao wako serious,
Pumbavu kabisa.
Hata Magu alianza hivi hivi lakini mwisho wake ukawa mbaya. Yana mwisho haya