Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
MmhHivi mnadhani ile ziara ya kagame ilikua ya burebure?
Kuna mtu alikuja kupewa semina elekezi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MmhHivi mnadhani ile ziara ya kagame ilikua ya burebure?
Kuna mtu alikuja kupewa semina elekezi.
Kwahiyo wanapiga mande, huku na huku?Mkuu, yule aliyeshitaki kwenye kamati ya nidhamu ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali Elieza Feleshi, wakati DPP wa sasa ni Sylvester Mwakitalu.
Wanyakyusa wote hao mwabukusi na mwakitalu ingawa mwabukusi Ana akili sanaaMkuu, yule aliyeshitaki kwenye kamati ya nidhamu ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali Elieza Feleshi, wakati DPP wa sasa ni Sylvester Mwakitalu.
Wanyakyusa wote hao mwabukusi na mwakitalu ingawa mwabukusi Ana akili sanaaMkuu, yule aliyeshitaki kwenye kamati ya nidhamu ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali Elieza Feleshi, wakati DPP wa sasa ni Sylvester Mwakitalu.
Mimi nitamweleza Mwenyezi Mungu palepale mbele ya watakatifu woote kwamba mimi bora nikachomwe moto mbinguni sipataki tena.Kwahiyo wanapiga mande, huku na huku?
Aisee hawa jamaa ukiwakuta peponi basi ujuwe moto hakuna.
Bora shetani magu Mara Mia Ni mzalendo kuliko hiki kimama ako mnafiki na muongoDPP tayari ana ugomvi binafsi na Mwabukusi, sasa katika mazingira haya nadhani TLS kama IPO kweli wasimame wahesabiwe, nchi haiwezi kuendesha hivi kama Banana Republic na Kangaroo court.
Mama anajikaanga kwa mafuta yake, hata tuliomkubali baada ya yule shetani wa Chato kutwaliwa kuzimu sasa tutaacha kumuunga mkono na tutaandaa vichio vya kufanya uhaini kwenye sanduku la kura.
Uhaini wetu ataujuwa 2025.
Mbona Kenya maandamano sio uhaini, mtu akisema kesho ntaplani nikuibie ng'ombe wako,atakua kakuibia tayari? Na mahakamani atahukumiwa kakwibia ng'ombe wako kwa kauli ile??kuhoji ni kusema tutamtoa rais madarakani kwa maandamano yasiyo na mwisho? Hakuna anayewasupport wapumbavu km nyie, tunataka amani na maendeleo siyo watu wa kutuvuruia nchi yetu wakitumiwa na vibaraka vya nje.
Muhimu sana hiiHata ile tume ya haki jinai haijamaliza kazi Polisi wanaleta huu upumbavu, mama asikubali kuingiziwa huu mkenge na Polisi waliokosa elimu.
TLS pia huyo muhaini anayo kesi ya kimaadili ya kujibu na kwa kiasi kikubwa uwakili wake utakomeshwa pasina wasi.Yana mwisho haya.
Mbowe kesi ya Ugaidi, Mwabukusi Uhaini.
TLS iko kimya, kuna faida gani ya kuwepo TLS?
Shetani na jini yote ni mapepo tu, hakuna cha uzalendo kwa muuwaji.Bora shetani magu Mara Mia Ni mzalendo kuliko hiki kimama ako mnafiki na muongo
Hata wewe ni kaburu kama unaruhusu watu wachache kutuletea taharuki nchini. Mumepewa mikutano ya siasa na uhuru wa maoni, badala ya kufanya siasa za kisraarabu mnatuletea taharuki. Hiyo inaitwa mwana ukomeMakaburu weusi mmeshindwa kujificha
Kama wako low nenda jaribu kumnasua Mdude na Mwakabusi, uone muziki wao. Kama hujui maana ya State nenda uka GUGO.Kama hii ndio kazi ya Tiss basi wapo very low standard.
Raia ambaye hashiki silaha unamfananisha na jeshi ambalo linamiliki silaha kisheria na kikatiba?Kama wako low nenda jaribu kumnasua Mdude na Mwakabusi, uone muziki wao. Kama hujui maana ya State nenda uka GUGO.
Kaburu huwa kaburi pale anapokuwa madarakani.Hata wewe ni kaburu kama unaruhusu watu wachache kutuletea taharuki nchini. Mumepewa mikutano ya siasa na uhuru wa maoni, badala ya kufanya siasa za kisraarabu mnatuletea taharuki. Hiyo inaitwa mwana ukome
Je akina Hanspope, Lugangira, Eugene Maganga, Capt Kadego etc mwaka 1983 walikuwa na silaha gani walipotaka kumpindua Julius Nyerere?Raia ambaye hashiki silaha unamfananisha na jeshi ambalo linamiliki silaha kisheria na kikatiba?
Akili zingine bana kha