Mdude Nyangali, Wakili Mwabukusi na wenziwe wadaiwa kuundiwa mashtaka ya Uhaini

Mdude Nyangali, Wakili Mwabukusi na wenziwe wadaiwa kuundiwa mashtaka ya Uhaini

CHADEMA tiketi ya udini, ukabila na ukanda haitawasaidia kwenye siasa. Zaidi mnajiengua toka Kila kundi ambalo lingeweza kuwa wanachama au wafuasi wenu.

Kipindi Cha Jakaya mkaporomosha matusi sana kwa watu wa Pwani. Umaarufu wenu ukashuka mikoa ya Pwani!

Kipindi Cha Magufuli mlikashifu sana kanda ya ziwa mkatukana Wasukuma na watu wa Kanda ya Ziwa. Mlikuwa na wafuasi wengi Kanda ya Ziwa lakini sasa wengi wamebaki angani!wamepeperuka!

Sasa hivi mna ponda sana Wazanzibar na waislamu ( mnaita Wavaa kobazi). Sina uhakikia kama mtaaminika kwenye miji yenye waislamu wengi.


Badilikeni.

Kuibua hisia za chuki kikabila,kikanda,kidini ndio turufu yenu bahati mbaya mnalamba garasa
 
Majina ya wanaokamatwa na jeshi la polisi kwa ukosoaji wa mkataba wa bandari kwanini kalibia yote ni ya wakristo hasa wakatoliki? Na hasa ukizingatia Raisi wa Nchi ni Muislamu
Ungeweka na ushaidi wa majina ya waliokamatwa ili tuhakikishe kwanza kabra hatuja koment
 
Nilijua mapema tu kuwa nia yenu si kupinga bandari kama bandari bali mna lenu tu, nalo ni chuki dhidi ya dini ya anayeongoza nchi sasa! Taratiiibu unafiki unakaa pembeni, ukweli unajidhihirisha.
Jibu swali lake, usijizungushe.
 
Majina ya wanaokamatwa na jeshi la polisi kwa ukosoaji wa mkataba wa bandari kwanini kalibia yote ni ya wakristo hasa wakatoliki? Na hasa ukizingatia Raisi wa Nchi ni Muislamu
Bahati mzuri kinara wa ukamati Wambura ni Mgalatia pamoja na DPP wake.

Sasa nitashangaa wanaparokia kutumika na waislamu kwa agenda ya kidini.

Unaona majina ni Wakristo watupu kwa sababu wao ndio wako front, ikitokea majina ya magaidi wanapokamatwa uko ndio utasikia majina ya waislamu watupu.
 
Majina ya wanaokamatwa na jeshi la polisi kwa ukosoaji wa mkataba wa bandari kwanini kalibia yote ni ya wakristo hasa wakatoliki? Na hasa ukizingatia Raisi wa Nchi ni Muislamu
Awamu hii mambo ya udini yameingia sana kuliko hata kipindi cha JK, ila naona watawala wanayapuuza.

Wakae wakijuwa hata misitu huanza kuungua kwa kipande kidogo tu cha fegi ya tumbaku.
 
Labda majizi mengi yako upande huo
Hatujasahau hela zikivyokuwa zinachotwa bank na kupewa viongozi wa dini ila sio mashehe

Acha watukane ila wanaofaidi zaidi wanajukikana na ndio wanaosoma sana ili wapate wadhifa serikalini na kupiga madili

Weka na list ya escrow na EPA
Tuache chuki za kijinga wanaofanya haya na kuchonga sana wanajulikana
 
Majina ya wanaokamatwa na jeshi la polisi kwa ukosoaji wa mkataba wa bandari kwanini kalibia yote ni ya wakristo hasa wakatoliki? Na hasa ukizingatia Raisi wa Nchi ni Muislamu
we hujui rais akiwa muislam wakristo wanavyosumbuaga? wadini sana hao wajamaa, mi mkristo lakini sipendi maubaguzi ya kijinga. Mbona wenzetu rais akiwa mkristo hawasumbui, hawafanyi vioja? Wakati wa Magufuli ni muislam gani alikuwa anaeneza maujinga km hao wajamaa. Kwanza ni wanafki hata huo ukristo wenyewe ni wa maslahi tu, wengi wao ni washirikina tu wala hawamtegemei wala kumcha Mungu. Issue ya bandari inaiumiza sana kichwa kanisa wamezoea magendo, huwa hawalipiagi bandarini. Ni wezi wa kodi za serikali, Mama Samia kazi iendee hao ni majambazi tu tumeshayatambua. Wamejaa ubaguzi, chuki, uzushi, uwongo, upotoshaji, uchochezi na uhaini. Washughulikiwe ipasavyo hakuna ukristo hapo.
 
Back
Top Bottom