Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili sasa nalo NENO Kwa hapa tulipofikia! Wakristo waamke haraka! wajenga misikiti wamesala! SAMIA ni Mhaini kabisaMajina ya wanaokamatwa na jeshi la polisi kwa ukosoaji wa mkataba wa bandari kwanini kalibia yote ni ya wakristo hasa wakatoliki? Na hasa ukizingatia Raisi wa Nchi ni Muislamu
Wewe ndiye mratibu wa ujambazi wa kidini na kugawa raslimali zetu kwa watu wa dini yako!!Toka basi ukaandamane?
Yanini unaandikia mate na wino upo?
Nilijua mapema tu kuwa nia yenu si kupinga bandari kama bandari bali mna lenu tu, nalo ni chuki dhidi ya dini ya anayeongoza nchi sasa! Taratiiibu unafiki unakaa pembeni, ukweli unajidhihirisha.
Haa haa haa. Acheni inferiority complex nyie waislam! Kila akiingia rais muislam ni mambo yakimshinda mnakimbilia kwenye kivuli cha udini. Kuna rais alikosolewa kama Magufuli? Mbona wakristo hawakusema ni kwa sababu ni mkristo? Mlikataa kwenda shule kwa kuogopa umande halafu unataka mkikosea tuwasifu? Unataka hao waarabu waje kwa kutumia mkataba mbovu namna hii?Nilijua mapema tu kuwa nia yenu si kupinga bandari kama bandari bali mna lenu tu, nalo ni chuki dhidi ya dini ya anayeongoza nchi sasa! Taratiiibu unafiki unakaa pembeni, ukweli unajidhihirisha.
Mwamedi alikuwa jambazi ndiyo maana hata nyie wafuasi wake mnaamini kwenye ukatili. Nchi za kiislam zote ni makatili. Mnakata wezi mikono, mnanyonga halafu mnapopata matatizo mnakimbilia kwa wala nguruwe.Toka basi ukaandamane?
Yanini unaandikia mate na wino upo?
DPW wanakuja kujenga misikiti.Majina ya wanaokamatwa na jeshi la polisi kwa ukosoaji wa mkataba wa bandari kwanini kalibia yote ni ya wakristo hasa wakatoliki? Na hasa ukizingatia Raisi wa Nchi ni Muislamu
Sasa nani amekimbilia huko kwenye udini kati ya wewe na hao waislamu?!!! Au umeingia tu kwenye mada hata kichwa cha habari cha mada yenyewe hujakisoma?!!!!Haa haa haa. Acheni inferiority complex nyie waislam! Kila akiingia rais muislam ni mambo yakimshinda mnakimbilia kwenye kivuli cha udini. Kuna rais alikosolewa kama Magufuli? Mbona wakristo hawakusema ni kwa sababu ni mkristo? Mlikataa kwenda shule kwa kuogopa umande halafu unataka mkikosea tuwasifu? Unataka hao waarabu waje kwa kutumia mkataba mbovu namna hii?
Tatizo bila kufanya hivyo tungeishiwa kuolewa tu kama nyie!! Yaani soooote tungekuwa miupinde, hilo haliwezekani. Ubinadamu lazima usimame!Mwamedi alikuwa jambazi ndiyo maana hata nyie wafuasi wake mnaamini kwenye ukatili. Nchi za kiislam zote ni makatili. Mnakata wezi mikono, mnanyonga halafu mnapopata matatizo mnakimbilia kwa wala nguruwe.
Mnamuogopa Mdude lakini hamuogopi kusigina sheria na katiba ya nchi.Mpaka uwakamate na ufanye uchunguzi. Sasa hawa nao waache wapite kwenye mchakato huo. Hii nchi imesharauliwa sana na akina Mdude
Hahahauhaha!Watu wenye udumavu wa fikra kama wewe nchi hii mpo wachache sana mkuu.
Lakini huwa mnashangaza sana, mbona Magufuli wakati anaandamwa hakuna mtu wa dini yake aliyesema anaandamwa kwakuwa ni Mkatoliki? Mbona mnapenda kilia lia sana na kujificha nyuma ya dini?
Loo!.Sasa wewe wataka kuleta uchonganishi wa kijinga.Waislamu wakianza kuhesabu majina hata katika uraisi wa Samia basi usingepaswa kutamka hilo.Majina ya wanaokamatwa na jeshi la polisi kwa ukosoaji wa mkataba wa bandari kwanini kalibia yote ni ya wakristo hasa wakatoliki? Na hasa ukizingatia Raisi wa Nchi ni Muislamu
Kweli kabisa ujinga ni mzigo, nimezungumzia habari ya tamko la maaskofu mimi for God's sake?!!!!!!!Ujinga ni mzigo mzito,, Kwahiyo thread hii ndio ndio takmo la maaskofu?
Ndio wote wawe wakristoLoo!.Sasa wewe wataka kuleta uchonganishi wa kijinga.Waislamu wakianza kuhesabu majina hata katika uraisi wa Samia basi usingepaswa kutamka hilo.
Naamini wanaokamatwa ni kushukiwa tu na makosa yao si kwa dini zao.
Hahahauhaha!
Hivi unajua tupo katika uzi wenye kichwa gani?!!!!
Taja waislamu waliopinga ambao hawajakamatwa ili na wao tuwaendee.Nadhani tangu mwanzo wakristo waljipinga kwa udini na huu ni uchochezi.Mkipinga mupinge kiuhalisia wa kupinga sio kuleta udini katika uchumi wa nchi.Ndio wote wawe wakristo
Historia ni mwalimu mzuri sana:Sasa nani amekimbilia huko kwenye udini kati ya wewe na hao waislamu?!!! Au umeingia tu kwenye mada hata kichwa cha habari cha mada yenyewe hujakisoma?!!!!
Huko sipo, naiogopa serikali na kuvunja sheria za nchi. Sitaki kujiingiza kwenye maneno ya uchochezi.Wewe ndiye mratibu wa ujambazi wa kidini na kugawa raslimali zetu kwa watu wa dini yako!!
Turudi kwenye threadHistoria ni mwalimu mzuri sana:
1 Ali Hasan Mwinyi alipouza Loliondo akapingwa waislamu walikimbilia misikitini na viwanjani kulalamika oh kwa kuwa muislam and some shit!
2. Jakaya Kikwete alipokuwa rais awamu ya kwanza kashfa za Ufisadi zilipokemewa zilipelekwa misikini kusafishwa kwa kuwa ni "muislamu" Hata kura za 2019 - 2015 zilikuwa kwa "maslahi ya uislamu"
3. Huyu SSH hata kipindi cha kwanza bado akiiba akikemewa ni "oh kwa vile muislam"
Hii ndiyo kiashiria kamili cha inferiority complex!
Lakini kwa huyu watanzania wameshtuka na hata kama kujigawa watajigawa tu ili ifikie kutibu hii cancer inayoenezwa!