Mdude Nyangali, Wakili Mwabukusi na wenziwe wadaiwa kuundiwa mashtaka ya Uhaini

Mdude Nyangali, Wakili Mwabukusi na wenziwe wadaiwa kuundiwa mashtaka ya Uhaini

Pamoja na mfumo huu mbovu, huyo DPP kamwe hawezi akapitisha hizi charges
Ni DPP huyo huyo ndio amemshitaki Mwabukusi kwenye Kamati ya nidhamu ya Mawakili wanataka Mwabukusi afutwe uwakili na yeye DPP ni mjumbe wa Kamati.

Na safari ya Dar Mwabukusi ulikuwa anakuja kujibu hoja za DPP huyo huyo ambaye amemshtaki kwenye Kamati ya nidhamu.

Lisu alishatuambia leo utakaa kimya kwa sababu siyo wewe, lakini siku yako yana Italia na kusaga meno.

Lazima Tanganyika itolewe sadaka ya damu ndio tutaheshimiana.
 
DPP anayo nafasi ya kujiepusha na kikombe hiki kwa kuikataa hii hati ya mashitaka.

Ila kama ni network moja na mfumo mmoja, namuonea huruma Mama Samia anaingizwa chaka na anayengewa chini hadi kwa tuliomuunga mkono.

Hata ile tume ya haki jinai haijamaliza kazi Polisi wanaleta huu upumbavu, mama asikubali kuingiziwa huu mkenge na Polisi waliokosa elimu.
Amri imetoka kwenye kiti cha enzi.
 
Safi kabisa. Ngoja wahangaike nayo hayo tupumzike matusi yao. Nchi inakuwa kama haina watu wenye busara. Kila siku mitusi ya Mdude tu.

Hizo ndiyo kazi za TISS sasa
Kama hii ndio kazi ya Tiss basi wapo very low standard.
 
Sijawahi kuelewa ni kwa nini Jeshi la Polisi lilishaonyesha udhaifu wa kiwango hiki kutompuuzia mdude nyagali. Linampaisha kila siku hata itafika wakati wakati mdude atageuka kuwa gumzo katika historia ya nchi hii.

Tangu 2015 wanahangaika naye lakini hawajawahi kumtia hatiani, bado hawajifunzi?
Yaani Mwabukusi na Mdude wapindue Nchi??? Kweli kabisa!!!! Mi Mdude Azam wakiandaa Pambano,havuki round ya nne,nishamkalisha!
 
Mbona akina Hanspope hawakunyongwa au Sheria zimebadilika?

cc: Pascal Mayalla
wanataka kutesa watu bila sababu na kumvuia huyu Mwabukusi kwenda kukata rufaa, serikali mnamfanyia nini huyu mtu, acheni uonevu. Ulingo sawa, haki sawa katika uwanja wa sheria ndio unaotakikana, mwacheni aende akate rufaa na mshindane na mshinde kwa haki, ya nini kumsumbua bila mpango? Acheni dhulumati, chondechonde
 
Ni DPP huyo huyo ndio amemshitaki Mwabukusi kwenye Kamati ya nidhamu ya Mawakili wanataka Mwabukusi afutwe uwakili na yeye DPP ni mjumbe wa Kamati.

Na safari ya Dar Mwabukusi ulikuwa anakuja kujibu hoja za DPP huyo huyo ambaye amemshtaki kwenye Kamati ya nidhamu.

Lisu alishatuambia leo utakaa kimya kwa sababu siyo wewe, lakini siku yako yana Italia na kusaga meno.

Lazima Tanganyika itolewe sadaka ya damu ndio tutaheshimiana.
Mkuu, yule aliyeshitaki kwenye kamati ya nidhamu ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali Elieza Feleshi, wakati DPP wa sasa ni Sylvester Mwakitalu.
 
CCM wanapambana na wakati, wakati huamua hatima yoyote ile... fate ipo kwenye muda na muda haudanganyi... 2023 siyo 1983. makosa wanafanya watawala na bado wanataka muda uwachekee NEVER. This regime will be fated to end badly.
Niliwahi andika thread kuhusu hili Magufuli angali hai! Nilisema CCM inapambana na wakati na haitoshinda!
 
CCM wanapambana na wakati, wakati huamua hatima yoyote ile... fate ipo kwenye muda na muda haudanganyi... 2023 siyo 1983. makosa wanafanya watawala na bado wanataka muda uwachekee NEVER. This regime will be fated to end badly.
Yaani kosa na dhambi kubwa aliyo ifanya Mh. Rais Samia ni kuwapa madaraka wahuni walio fanya kazi kwa ukaribu na JPM hawa waliiharibu nchi kwa matendo yao ya kihuni.
Leo wameanza kupoteza tena furaha na uhuru waluo kuwa nao Watanzania. Kitendo cha IGP juzi kuongea mbele ya vyombo vya habari ati kuna watu wana taka kufanya uhaini, ni yale yale ya kuwaundia watu kesi za uongo yan tengenezwa.
Ambayo ndiyo yalikuwa ya awmu ya mwenda zake. Hii ni dhambi kubwa sana kwenye utawala wa kujikomba. Nh. Rais ana takiwa kuwa makini sana na hawa wahuni alio warithi.
 
Kwamba ni Uhaini au Uchochezi anayetafsiri ni DPP siyo Polisi

DCI anapeleka Taarifa ya Uchunguzi ikiwa imesheheni data zote zikiwa ghafi

DPP ndio anazitafsiri na kuandaa Hati ya Mashtaka pamoja na Ushahidi na Mashahidi atakaowahitaji mahakamani
DPP tayari ana ugomvi binafsi na Mwabukusi, sasa katika mazingira haya nadhani TLS kama IPO kweli wasimame wahesabiwe, nchi haiwezi kuendesha hivi kama Banana Republic na Kangaroo court.

Mama anajikaanga kwa mafuta yake, hata tuliomkubali baada ya yule shetani wa Chato kutwaliwa kuzimu sasa tutaacha kumuunga mkono na tutaandaa vichinjio vya kufanya uhaini kwenye sanduku la kura.

Uhaini wetu ataujuwa 2025.
 
Back
Top Bottom