Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Lakini angalau mambo haya yanaweza kusaidia kuwaamsha makondoo ya Tanzania.Mkuu
TLS ilianza kubanwa kwa kuundiwa kamati ya maadili ya mawakili ambayo ina nguvu kuliko TLS yenyewe.
Mwenyekiti wa kamati hiyo ni DPP
Unategemea watasema nini zaidi ya kuanza kupambania members wake mahakamani?
Maana kuwapigania Watanzania ni kazi bure kabisa.