Mdude Nyangali, Wakili Mwabukusi na wenziwe wadaiwa kuundiwa mashtaka ya Uhaini

Mdude Nyangali, Wakili Mwabukusi na wenziwe wadaiwa kuundiwa mashtaka ya Uhaini

Mkuu
TLS ilianza kubanwa kwa kuundiwa kamati ya maadili ya mawakili ambayo ina nguvu kuliko TLS yenyewe.

Mwenyekiti wa kamati hiyo ni DPP

Unategemea watasema nini zaidi ya kuanza kupambania members wake mahakamani?
Lakini angalau mambo haya yanaweza kusaidia kuwaamsha makondoo ya Tanzania.

Maana kuwapigania Watanzania ni kazi bure kabisa.
 
DPP anayo nafasi ya kujiepusha na kikombe hiki kwa kuikataa hii hati ya mashitaka.

Ila kama ni network moja na mfumo mmoja, namuonea huruma Mama Samia anaingizwa chaka na anayengewa chini hadi kwa tuliomuunga mkono.

Hata ile tume ya haki jinai haijamaliza kazi Polisi wanaleta huu upumbavu, mama asikubali kuingiziwa huu mkenge na Polisi waliokosa elimu.
DPP aikatae Hati ya Mashtaka Kwani imeandaliwa na nani?
 
DPP anayo nafasi ya kujiepusha na kikombe hiki kwa kuikataa hii hati ya mashitaka.

Ila kama ni network moja na mfumo mmoja, namuonea huruma Mama Samia anaingizwa chaka na anayengewa chini hadi kwa tuliomuunga mkono.

Hata ile tume ya haki jinai haijamaliza kazi Polisi wanaleta huu upumbavu, mama asikubali kuingiziwa huu mkenge na Polisi waliokosa elimu.
Hata hizo nchi zinazisifiwa na kuwa na katiba nzuri, hazichzewi kama akina Mdude wanavyoichezea Tanzania chini ya Samia. Waache wakumbushwe tu kuwa Serikali iko macho
 
DPP anayo nafasi ya kujiepusha na kikombe hiki kwa kuikataa hii hati ya mashitaka.

Ila kama ni network moja na mfumo mmoja, namuonea huruma Mama Samia anaingizwa chaka na anayengewa chini hadi kwa tuliomuunga mkono.

Hata ile tume ya haki jinai haijamaliza kazi Polisi wanaleta huu upumbavu, mama asikubali kuingiziwa huu mkenge na Polisi waliokosa elimu.
DPP ndiye kawatuma waunde mashitaka hayo.
 
Back
Top Bottom