kipenseli2021
JF-Expert Member
- Jul 17, 2021
- 1,390
- 1,431
Nipe tuone😀😀 Wachagga walikuwa wawili tu halafu Msukuma, Mkinga, Mnyakyusa na Muhaya!
Au Nikupe majina dogo!
weka hayo majina unayodai maana wakongwe tupo😀😀 Wachagga walikuwa wawili tu halafu Msukuma, Mkinga, Mnyakyusa na Muhaya!
Au Nikupe majina dogo!
Bilionea Tuntemeke Sanga, Ndesamburo, Ngaiza, Bob Makani, Mwaikambo na Mtei 😀Nipe tuone
.Bilionea Tuntemeke Sanga, Ndesamburo, Ngaiza, Bob Makani, Mwaikambo na Mtei [emoji3]
Naomba kujua historia ya huyu bwana mdogo kwa anayeijua.
Anajiamini na ana misimamo mikali kama muasisi wa CHADEMA hayati Tuntemeke Sanga.
Hata Sugu kabla hajachakachuliwa alikuwa na misimamo mikali sana hasa alipoporwa mradi wa vyandarua[emoji3][emoji3].
Wewe ulikuwa chekechea wakati huo!
Waulize Wazee wako hapo Ufipa st kwa Makani watakupa orodha ya Wassisi 6 wa Chadema
Vikao vyote vilifanyika Motel Agip kwa Tuntemeke Sanga Mkinga na nusu!
Waulize Wazee wako hapo Ufipa st kwa Makani watakupa orodha ya Wassisi 6 wa Chadema
Vikao vyote vilifanyika Motel Agip kwa Tuntemeke Sanga Mkinga na nusu!
[emoji3][emoji3] Wachagga walikuwa wawili tu halafu Msukuma, Mkinga, Mnyakyusa na Muhaya!
Au Nikupe majina dogo!
Bilionea Tuntemeke Sanga, Ndesamburo, Ngaiza, Bob Makani, Mwaikambo na Mtei [emoji3]