Mimi mwenye sipo mjini,taja hivyohivyo tutajua pakuanziaMkuu pole sana. Kuna majani fulani hivi kule moshi unayatafuna ili yalainike halafu unayaweka kidoleni unayafungia na kitambaa kwa huku mjini sijawahi kuyaona zaidi ya kule Moshi. hata jina lake kwa kiswahili sijui
Duh! Pole sana..fika hosp usiruhusu haya majaribio. Wakati mwingine hatua za kubahatisha huleta maangamizi zaidi.Sio kwa nia mbaya,ugeni na kutokujua ni kitu gani kinanisumbua ndio vimenichelewesha...
Nilidhan ni maumivu ya kawaida tu.
Nulishawai kuumwa chukua ndulele ichome moto alaf uweke kidole au kama una mke muombe wife uweke kidole kwemye k utaponaSalaam wanajamvi, natumaini mko salama na kwa wale mliokatika mfungo, Mungu akawaongezee palipo pungua.
Wakuu mwenzenu yamenifika, kidole changu cha kati mkono wa kulia kimevimba hatari. Kinauma mno yaani hakukaliki, hakulaliki. Najihisi mnyonge, nimekosa tumaini.
Nimeweka mafuta ya taa, nimepaka Colgate, maji ya betri, vitunguu swaumu, maji ya moto, lakini wapi? Kuna watu wananiambia nisichokonoe wala nisiende hospitali.
Kama kuna aliewahi kuumwa na akapona, naomba msaada wake. Nimetingwa ndugu zangu. Nauona moto mpaka nmewaza isije kuwa kansa, nka-kate kidole.
Pole sana, dawa za majani zipo, ila hiyo yakuchovya nimewahi isikia ila baada ya shughuli chovya hapo sasa sijui na hayo maumivu kazi itafanyika kweli? Kwasababu sio sumu chovya asubuhi hosp, pole tena.Dah yaan haya sio maumivu mkuu,utafikiri moyo umehamia kidoleni
Pole sanaNITAYASHINDA YOTE KATIKA YEYE ANITIAYE NGUVU
AsanteUbarikiwe sana
Nenda hospitaliSalaam wanajamvi, natumaini mko salama na kwa wale mliokatika mfungo, Mungu akawaongezee palipo pungua.
Wakuu mwenzenu yamenifika, kidole changu cha kati mkono wa kulia kimevimba hatari. Kinauma mno yaani hakukaliki, hakulaliki. Najihisi mnyonge, nimekosa tumaini.
Nimeweka mafuta ya taa, nimepaka Colgate, maji ya betri, vitunguu swaumu, maji ya moto, lakini wapi? Kuna watu wananiambia nisichokonoe wala nisiende hospitali.
Kama kuna aliewahi kuumwa na akapona, naomba msaada wake. Nimetingwa ndugu zangu. Nauona moto mpaka nmewaza isije kuwa kansa, nka-kate kidole.
Dah.....kidole cha kati....ndiyo muwe na adabu....siyo kila mtu unamuonyesha kidole 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Kama hana pisi anaenda kwa wale waaaojiza na kiasi fulani kama anaenda kununua vile wakishakubaliana bei wakifika chobisi anamuambia shida yake ilikuwa kuweka kidole kwa dk 4 tu😁😁😁Wanawake wanayodawa ukichomeka kwenye k ya mwanamke kama dakika 4 tu kesho unapona