ME AGAINST JF MEMBERS.

ME AGAINST JF MEMBERS.

Mimi pia naomba mwongozo wa hio freebasic... Kwanza ndo kinini eti!?????


Cc Smart911

Sent using Jamii Forums mobile app
We mamiloo Mahondaw,,kama simu yako ina Operamini ukiingia unakutana na app kama facebook,Google,Kwese news pamoja na hiyo freebasics yenyewe,Uki click kwenye iyo freebasics utakutana na tovuti zisizolipishwa kama vile,Ask.com,Free facebook,Dictionary.com,BBC news pamoja na jamiiforum yenyewe,,Ila Jf ya uko freebasics haina ubora kama ukiwa na app kabisa,mfano hai-play video,Picha za kiduanzi tu na vitu kaa izo..Yeah
 
Ndo mfano hio mkuu??


Cc Smart911
We mamiloo Mahondaw,,kama simu yako ina Operamini ukiingia unakutana na app kama facebook,Google,Kwese news pamoja na hiyo freebasics yenyewe,Uki click kwenye iyo freebasics utakutana na tovuti zisizolipishwa kama vile,Ask.com,Free facebook,Dictionary.com,BBC news pamoja na jamiiforum yenyewe,,Ila Jf ya uko freebasics haina ubora kama ukiwa na app kabisa,mfano hai-play video,Picha za kiduanzi tu na vitu kaa izo..Yeah
Screenshot_2019-02-23-18-32-32.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Home of great thinker. Nimejaribu kujifanyia karesearch kadogo tu na haya ndio niliyoyabaini.
-uenda Mimi ndo member pekee wa Jf nayeishi Tanzania Ila sijawahi fika bongo Dar es salaam
-yawezekana ni Mimi tu humu Jf sijawahi kuvuka boda.
-yawezekana ni Mimi tu humu Jf nayeishi maisha cheap sana maana ninatumia freebasics Ku log in
-wakati wengine wakijadili kuhusu mandinga makali Mimi ndo mwaka huu nafikiria kununua baiskeli.
-yawezekana Mimi ndo member pekee nisiyekuwa na mchepuko humu Jf.

Ila yote heri Ila ukweli na enjoy sana na I'm already addicted to Jamii Forum.
Wakati wewe unafikiria kununua baiskeli sisi wenzako tunafikiria kuvisha matairi mapya TZ 11 zetu [emoji849][emoji849][emoji849]

ᴾᵘⁿⁱˢʰ ᵒⁿˡʸ ʰᵉ ʷʰᵒ ᶜᵒᵐᵐⁱᵗᵗᵉᵈ ᵗʰᵉ ᶜʳⁱᵐᵉ✓
 
We mamiloo Mahondaw,,kama simu yako ina Operamini ukiingia unakutana na app kama facebook,Google,Kwese news pamoja na hiyo freebasics yenyewe,Uki click kwenye iyo freebasics utakutana na tovuti zisizolipishwa kama vile,Ask.com,Free facebook,Dictionary.com,BBC news pamoja na jamiiforum yenyewe,,Ila Jf ya uko freebasics haina ubora kama ukiwa na app kabisa,mfano hai-play video,Picha za kiduanzi tu na vitu kaa izo..Yeah
Freebasic ya operamini ndo ya kiduwanzi ika ukitumia browser ipo fresh hadi picha kwalite ile ile kama unatumia app tu
 
Back
Top Bottom