Me mgeni

Me mgeni

Hiyo privacy ulishindwa kwa yule bidada kwangu member wa jf ndo utaweza

Tena ukileta uzi unasema ni member humu watu wanakua interested kujua ni nani, pm zinakua nyingi unawadokeza ni flan me nakua busy kukoment kumbe nachorwa
halafu uzi aingilie kati yule mbea umekwisha
 
Aaaaaah jaman
Hiyo privacy ulishindwa kwa yule bidada kwangu member wa jf ndo utaweza

Tena ukileta uzi unasema ni member humu watu wanakua interested kujua ni nani, pm zinakua nyingi unawadokeza ni flan me nakua busy kukoment kumbe nachorwa
Inna una wasiwasi sanaaa. Maisha hayapo JF tu. Thou JF ni sehemu kubwa ya naisha yangu kwa siku nyingi sana. Sijawai muanika mtu lather than huyu wa juzi.

Pia nime filter. Hata akisoma uzi wangu hawezi jijua kuwa ni yy.

Hivyo basi nakuhakikishia usalama
 
Back
Top Bottom