Kwa iyo deni limeongezeka, basi tena wakenya, ndio mmeshauzwa.Malaba route is in the same line with Kisumu route. The line runs from Mombasa - Nairobi - Naivasha - Kisumu- Malaba. It's one line with no branches
Unamuuliza wali anajibu ugali.
Zile fedha za rambirambi mm nimemuuliza lini kenya ilitoa msaada wa kifedha kwa Tz kuendesha mradi yeye hanijibu.
Nishaanza kupatwa mashaka na wakenya
Sawa hatujawahi toa.Nynyi mshatoa ngapi hzo za rambi rambi kenya
Nadhani mchina anatafuta uhalali wa kuichukua Kenya yote sasa badala ya bandari ya Mombasa tu.Kwa iyo deni limeongezeka, basi tena wakenya, ndio mmeshauzwa.
Sawa hatujawahi toa.
Na wala hatukuomba rambirambi sisi.
Ni ninyi na shobo zenu,na cha kushangaza mmetoa tsh 120 millions ambazo hata bungalow haikamilishi.
Kwahyo msijitape.
Mngekuwa mme finance mradi wa km $ 5 millions atleast ningewa salute.
Ila sio hzo rambirambi vijihela ambayo ht mzee wangu anaweza kutoa shilingi milion mia hamsini mjitape
Rambirambi aitoshi hata kufanyia matangazo za biashara
Kwann sio ya kwanza AfricaMombasa port is giving you sleepless nights you lazy witches. For your information, Mombasa port is the fourth best port in Africa.
Serikali haikushindwa kutoa hzo tsh 50 millions kila kijiji.Sasa kati yetu na nnynyi akina nani wanafiki..
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Na ukumbuke kumsaidia mwenzio anapokumbwa na matatizo sio shobo ujue..kisha wasema haziwezi kamilisha bungalow wakati nyinyi mlishindwa kugawa tsh50 million kw kila kijiji...si mgelisaidia watu wenu kwanza kuliko kujifanya wajuaji...ukisaidia haimaanishi km kwako umemaliza..la hasha, ni utu na ukarimu kw ujirani mwema...
Yani kw hili la kusaidiana...ndio mmeonyesha chuki wazi wazi dhidi ya kenya
KHAA WAKATI HUO MNALETA HZO BLANCKETS ISLAMIC FOUNDATION WALISHATOA MSAADA ZAMMAAANII MPK NYUMBA KUANZA KUJENGWA.Lini mwisho tanzania ku donate chochote kenya kw ajili ya majanga yanayotokea...unafiki katika ubora wake...na bado tutaendelea ku donate hvo hvo..nynyi kaeni na kasumba yenu ya tangu nyerere...
God bless kenya
Acheni ubaguzi nyie,yan mnamkataa jamaa yenu sababu tu kaongea ukweli!Huyo jamaa ni mtanzania.
Wakenya hawana Tabia mbaya kama nyinyi. That imbecile is a Tanzanian. I can prove itAcheni ubaguzi nyie,yan mnamkataa jamaa yenu sababu tu kaongea ukweli!
Ubaguzi uko kwenye damu yako,so kitu kama hiki cha kumkataa mkuu Mkikuyu- Akili timamu kama sio mkenya kwako wala si jambo la kushtuaWakenya hawana Tabia mbaya kama nyinyi. That imbecile is a Tanzanian. I can prove it
Mgagaa na Upwa Mimi si mbaguzi kama nyinyi. Kuna tabia sipendi. The guy is so repulsive and unchivalrous & that's enough proof that he's a Tanzanian.
eliakeem which night runners?
Aisee! Nakuchosha ?kuuliza si ujinga πUsijifanye hujui.
ππ
Usinichoshe.
Mimi hapana toka nje .Giza atameza mimi π πBana eee, si utoke nje utawaona?