Mean While; Tanzania is Testing the SGR

Malaba route is in the same line with Kisumu route. The line runs from Mombasa - Nairobi - Naivasha - Kisumu- Malaba. It's one line with no branches
Kwa iyo deni limeongezeka, basi tena wakenya, ndio mmeshauzwa.
 
Mambo ni raha tuu. SGR ni fire.
 
Nynyi mshatoa ngapi hzo za rambi rambi kenya
Unamuuliza wali anajibu ugali.
Zile fedha za rambirambi mm nimemuuliza lini kenya ilitoa msaada wa kifedha kwa Tz kuendesha mradi yeye hanijibu.
Nishaanza kupatwa mashaka na wakenya
 
Nynyi mshatoa ngapi hzo za rambi rambi kenya
Sawa hatujawahi toa.
Na wala hatukuomba rambirambi sisi.
Ni ninyi na shobo zenu,na cha kushangaza mmetoa tsh 120 millions ambazo hata bungalow haikamilishi.
Kwahyo msijitape.
Mngekuwa mme finance mradi wa km $ 5 millions atleast ningewa salute.
Ila sio hzo rambirambi vijihela ambayo ht mzee wangu anaweza kutoa shilingi milion mia hamsini mjitape
 
Sasa kati yetu na nnynyi akina nani wanafiki..

[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

Na ukumbuke kumsaidia mwenzio anapokumbwa na matatizo sio shobo ujue..kisha wasema haziwezi kamilisha bungalow wakati nyinyi mlishindwa kugawa tsh50 million kw kila kijiji...si mgelisaidia watu wenu kwanza kuliko kujifanya wajuaji...ukisaidia haimaanishi km kwako umemaliza..la hasha, ni utu na ukarimu kw ujirani mwema...


Yani kw hili la kusaidiana...ndio mmeonyesha chuki wazi wazi dhidi ya kenya
 
Serikali haikushindwa kutoa hzo tsh 50 millions kila kijiji.
Bali mambo ya msingi yalifaa tazamwa kwanza.
We utoa hela zote ilhali watu wanahitaji vituo vya afya,maji safi na salama na MIUNDOMBINU bora hyo 50 millions itakidhi hayo kila kijiji??jibu laa.
Hyo million mia na hamsini haiwez nisaidia ht mm budah.
Maana ht bungalow ya uhakika haikamilishi.
Nyie mlitoa rambirambi buddah.
Na ndio kwanza mara ya kwanza kenya imetoa rambirambi tz.
Kagera walipata earthquake mlikua wapi kutoa msaada?mpaka mnaleta blankets ilihali waarabu walishafika wakaanza kuinua had nyumba??
Badala ya kutoa msaada kwa wahitaji mnatoa rambirambi kwa wafu.
Then ndio mara ya kwanza serikali yenu inaipa pesa za rambirambi tz kwahyo usijibarague sana.
NATAKA SIKU MU FINANCE MRADI HT WA $ 5 MILLIONS HP TZ NDIO NITAWAPA RESPECT.
ILA SIO SHILINGI MILLION MIA HAMSINI AMBAZO HT BUNGALOW HAZIKAMILISHI
 
KHAA WAKATI HUO MNALETA HZO BLANCKETS ISLAMIC FOUNDATION WALISHATOA MSAADA ZAMMAAANII MPK NYUMBA KUANZA KUJENGWA.
YAN UNALETA MSAADA WAKATI AMBAO WATU WASHASAIDIKA?;
POOR YOU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…