Hahahaha, kwa uchungu huo, lazima utajifunguo dume.Ni ushamba manze. Understand these people have been in the darkness for more than a century.
Tuliimbiwa Reli ni ya umeme, treni ni burret na itafika Morogoro ila so far yote waliyosema ni uongo mtupu...bure kabisa na huo mtambo wa gongo. Treni yenyewe inakaa zile za kubebea mifugo.
Wewe jifunguo dume tu. Burret train iko wapi? 😭😭Hahahaha, kwa uchungu huo, lazima utajifunguo dume.
Mbona mmoja kawacha nchi yake kaenda CHATO.
Ya piri mkuu afu ni lini tutaunganisha umeme Kaka?Hivi since independence hii itakuwa sgr ya ngapi wakuu?
Advertise Brookside milk.Mbona mmoja kawacha nchi yake kaenda CHATO.
Hahahaha, hahahaha, una passport?Wewe jifunguo dume tu. Burret train iko wapi? [emoji24][emoji24]
Nikuje nikuchukue nikutembeze Kenya Hadi Turkana.Hahahaha, hahahaha, una passport?
Kwani huko kuna bullet train?Nikuje nikuchukue nikutembeze Kenya Hadi Turkana.
Hakuna ila tulio nayo ni mzuri zaidi kuliko hiyo yenu.Kwani huko kuna bullet train?
Sisi bado trains zetu hazijafika lakini uneshaanza kuweweseka, tulia dogo. Wewe andaa passport, nchi haiwezi kuleta train kabla reli haijakamilika, zitahifadhiwa wapi?, tumia akili kidogo.Hakuna ila tulio nayo ni mzuri zaidi kuliko hiyo yenu.
Sisi bado trains zetu hazijafika lakini uneshaanza kuweweseka, tulia dogo. Wewe andaa passport, nchi haiwezi kuleta train kabla reli haijakamilika, zitahifadhiwa wapi?, tumia akili kidogo.
Maneno mingi pelekea Bibi ukamtongoze nazo, Mimi niwekee picha za burret train ikiki bia Dar to Moro.Sisi bado trains zetu hazijafika lakini uneshaanza kuweweseka, tulia dogo. Wewe andaa passport, nchi haiwezi kuleta train kabla reli haijakamilika, zitahifadhiwa wapi?, tumia akili kidogo.