Mean While; Tanzania is Testing the SGR

Wanajua sema tu thinking capacity yao ndogo sana inawaza chuki, tribalism nk
 
Nikuletee testing ya bullet train hapa ujione km utaona huo uchafu mliouleta hapa...


Halafu unaniletea comparison za kijinga kwel...shule yenu hv inawafundisha kujadili mada hvo....
Au wewe niletee reli ya umeme ambayo imefanyiwa testing kihivo
Kuna tests nyingi hiyo ya sasa ni kupima kama reli iko sawa baada ya kufanya flash butt welding na kupitisha tamping machine. Watakuja kufanya test ya signaling na power transmission baadae. Mbona hukuuliza maswali yako wakati wanafanya concrete strength test ya mataruma?

Unapapara wewe....
 
Mtambo wa gongo?

Unapata jibu moja baada ya lingine,
ulisema sentimita moja, sasa inatembea kwenye njia.
utaleta mtambo wa gongo itakuja kitu mwake.
subiri tu. mambo mazuri hayataki haraka.
 
kwenye picha naona bendera ya tz na China...nilidhani hamkuchukua deni

hapana bro, ile ni bendera ya Turkey. Na si china. Ukiangalia vizuri, ina crescent.
 
Ujinga mtupu. Badala ya watu wawekeze kwenye elimu kwanza wanajenga miundombinu ambayo italeta hasara .Illiteracy iko juu sana.
Waliposikia Kenya imejenga reli nao wakakurupuka
 
Advertise Brookside milk.
Mtonyo wa mazugumzo Chato
1:atamwombea jaguar msamaha
2:atamwomba Magufuli wazidishe ushirikiano wa kindugu na kiuchumi
3: msaada wa kiufundi wa kupigana na ufisadi
4: kama Tz itaendelea kuwauzia Kenya mahindi
 
Mtonyo wa mazugumzo Chato
1:atamwombea jaguar msamaha
2:atamwomba Magufuli wazidishe ushirikiano wa kindugu na kiuchumi
3: msaada wa kiufundi wa kupigana na ufisadi
4: kama Tz itaendelea kuwauzia Kenya mahindi

Ahaa haa
Mbavu zangu.
 
Ujinga mtupu. Badala ya watu wawekeze kwenye elimu kwanza wanajenga miundombinu ambayo italeta hasara .Illiteracy iko juu sana.
Waliposikia Kenya imejenga reli nao wakakurupuka
Hahahaha, ujuaji wenu ndio uliowafanya kushindwa kuwekeza katika Galana kulalu ili muwe na uhakika wa chakula, mkachukua pesa yote mkaipoteza katika ujenzi wa reli ya zamani ambayo haina faida yoyote zaidi ya kuitia hasara nchi yenu, huku mkiendelea kuzika watu kutokana na njaa.
 
Hamna watu wamewahi kufa njaa Kenya. Lakini huko kwenu ni wengi wameaga dunia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…