achana na fala! ana makengeza!
Hata mimi naweza kukuongelesha kisukumu tuelewane vizuri sana. Tumia akiliMwongeleshe kikikuyu uone kama utamweza wenzakp waliwai kubishana naye kuwa siyo mkenya awakuchukua hats nusu SAA wakakubali wenyewe
Kila wakiona rangi nyekundu wanaweweseka, achana na Mchina, amewafanya kitu mbaya sana.
Africa food basket??? Where do you get this madness from?1) Most peaceful Nation
2) Very stable politically
3)Zero tribalism
4) Africa food basket
5) Fast economic growth
6) Highest Economic inclusiveness
7)Ability to carry out big projects using its resources
Huwezi kulinganisha mkoa na nchi, Kenya kwa Tz ni mkoaTesting is okay lakini ujue sisi Kenya treni yetu imepita testing phase zamani sana sasa tuko gear ya themanini.
Gavana wa kenya hana time hyo
mbona hata TAZARA enzi zile za Mwalimu ilipokuwa inafunguliwa ilikuwa na mwonekano mzuri (nje na ndani) zaidi ya haya mawagoni ya wakolomije?
inashangaza sana watu wana flaunt SGR as if ni kitu kipya sana nchini.
je...mnajua kwamba barabara iliyojengwa sambamba na TAZARA kuelekea Zambia inabeba shehena nyingi zaidi kuliko TAZARA? hamjajifunza kitu kutokana na uzoefu huu - au mnajenga tu kama pambo?
Mbona ya kwani ya yashatafunwa kitambo tu na wahuni?Leri ya mkopo lazima itutafune makalio.
Wanasema mnatest gari moshi kama zaoMwanzoni, walisema tukijenga sentimita moja, tuwa tag. Sasa tunatest vitu. Sijui watasemje!!?
Ile yenu si treniTesting is okay lakini ujue sisi Kenya treni yetu imepita testing phase zamani sana sasa tuko gear ya themanini.
Liinchi linaongozwa na pombe unaliita nchi???Huwezi kulinganisha mkoa na nchi, Kenya kwa Tz ni mkoa
Lakini walikuja jifunza UDART
Ni lini Tanzania ilikuwa na reli ya upana wa SGR?
Umeshasema testing sasa cha ajabu nini? Umeshawahi ona crash test inavyofanywa? Huwa wanaweka binadamu kuangalia kama airbag inafanya kazi?
kama umewahi kufanya engineering project yoyote utaelewa kuwa kwenye system moja kuna sub-systems nyingi ambazo unatakiwa kuzitest moja moja.
Ni kwasababu wanatest mechanical na civil work ya reli.
Nikuletee testing ya bullet train hapa ujione km utaona huo uchafu mliouleta hapa...
Halafu unaniletea comparison za kijinga kwel...shule yenu hv inawafundisha kujadili mada hvo....
Au wewe niletee reli ya umeme ambayo imefanyiwa testing kihivo