Mean While; Tanzania is Testing the SGR

Mean While; Tanzania is Testing the SGR

Mwongeleshe kikikuyu uone kama utamweza wenzakp waliwai kubishana naye kuwa siyo mkenya awakuchukua hats nusu SAA wakakubali wenyewe
Hata mimi naweza kukuongelesha kisukumu tuelewane vizuri sana. Tumia akili
 
1) Most peaceful Nation
2) Very stable politically
3)Zero tribalism
4) Africa food basket
5) Fast economic growth
6) Highest Economic inclusiveness
7)Ability to carry out big projects using its resources
Africa food basket??? Where do you get this madness from?
 
Mchina akikubali tu kwa modest cst per kilometer, basi Mwanza tunafika asubuhi kweupee. Maana tutampa cost zetu tunazotumia sasa as a base. We will not be talking from air like our broz.
 
Jifungue kwanza naona uchungu umekuelemea
mbona hata TAZARA enzi zile za Mwalimu ilipokuwa inafunguliwa ilikuwa na mwonekano mzuri (nje na ndani) zaidi ya haya mawagoni ya wakolomije?

inashangaza sana watu wana flaunt SGR as if ni kitu kipya sana nchini.

je...mnajua kwamba barabara iliyojengwa sambamba na TAZARA kuelekea Zambia inabeba shehena nyingi zaidi kuliko TAZARA? hamjajifunza kitu kutokana na uzoefu huu - au mnajenga tu kama pambo?
 
Mkuu, mtu anayejitoa ufahamu ni ngumu sana kumwelewesha.
Ni lini Tanzania ilikuwa na reli ya upana wa SGR?
Umeshasema testing sasa cha ajabu nini? Umeshawahi ona crash test inavyofanywa? Huwa wanaweka binadamu kuangalia kama airbag inafanya kazi?

kama umewahi kufanya engineering project yoyote utaelewa kuwa kwenye system moja kuna sub-systems nyingi ambazo unatakiwa kuzitest moja moja.

Ni kwasababu wanatest mechanical na civil work ya reli.
 
Wewe unajua mkandarasi alikuwa anatest nini? Na ujue hii reli itakuwa na treni zote mbili. Umeme na diesel. Ndiyo sababu zote zimeagizwa. Au unadhani sisi ni matahira kujenga catenary poles kwa reli itayotumia diesel pekee! If you are not well informed, why reveal your stupidity?
Nikuletee testing ya bullet train hapa ujione km utaona huo uchafu mliouleta hapa...


Halafu unaniletea comparison za kijinga kwel...shule yenu hv inawafundisha kujadili mada hvo....
Au wewe niletee reli ya umeme ambayo imefanyiwa testing kihivo
 
Back
Top Bottom