Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Nyang'au wanasononeka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diesel tena? Hahaha mimi nliacha mkitumia treni za umeme pekee unlike sisi Kenya. Ccm kweli haijielewi ata kidogoWewe unajua mkandarasi alikuwa anatest nini? Na ujue hii reli itakuwa na treni zote mbili. Umeme na diesel. Ndiyo sababu zote zimeagizwa. Au unadhani sisi ni matahira kujenga catenary poles kwa reli itayotumia diesel pekee! If you are not well informed, why reveal your stupidity?
Acheni kupotosha hata za mizigo zitatumia umeme ila kutakuwapo na few za diesel.Technically za mizigo huwa hazitumii umeme. Mara nyingi huwa zunatumia diesel.
Diesel tena? Situmeishi kuambiwa hakuna Moshi ni buleti treni pekee itakayotumika......imekuwaje tena kuna diesel..😂😂😂😂😂Wewe unajua mkandarasi alikuwa anatest nini? Na ujue hii reli itakuwa na treni zote mbili. Umeme na diesel. Ndiyo sababu zote zimeagizwa. Au unadhani sisi ni matahira kujenga catenary poles kwa reli itayotumia diesel pekee! If you are not well informed, why reveal your stupidity?
Actually za mizigo ndio hasa zinapaswa kutumia UMEME, kwasababu zinahitaji nguvu zaidi kuvuta mzigo mkubwa kwa gharama nafuuAcheni kupotosha hata za mizigo zitatumia umeme ila kutakuwapo na few za diesel.
😂😂😂😂😂😂 Sasa ndio Unajua hivo....Tumeishi kukwambia unajitia hamnazo!Eti 'sisi hatutamia mafuta,ours will be efficient and less costly'🤣🤣🤣🤣.....bure kabisa!Technically za mizigo huwa hazitumii umeme. Mara nyingi huwa zunatumia diesel.
Tumia akili buda, kati ya electric engine and diesel powered engine, ipi yenye nguvu na cheaper to operate?, jamaa hapo alikosea kwahiyo usitumie makosa yake kuhalalisha failures zenu, ninyi mlikosea kujenga diesel railway lazima mkubali hayo makosa ili mjirekebishe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sasa ndio Unajua hivo....Tumeishi kukwambia unajitia hamnazo!Eti 'sisi hatutamia mafuta,ours will be efficient and less costly'[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].....bure kabisa!
Nani amekwambia tulikosea? Wewe sasa ndiye umekuwa mtaalamu eeh....Ngoja reli yenu imalizike, that is kama itamalizika, ndio tutofautishe mbivu na mbichi.......Tumia akili buda, kati ya electric engine and diesel powered engine, ipi yenye nguvu na cheaper to operate?, jamaa hapo alikosea kwahiyo usitumie makosa yake kuhalalisha failures zenu, ninyi mlikosea kujenga diesel railway lazima mkubali hayo makosa ili mjirekebishe
Hivi vitu havifanyiki kwa kubahatisha, eti hadi imalizike kwanza ndio tulinganishe, kawaida kunafanyika " feasibility study" kabla ya kuanza kwa project yoyote ile, moja ya umuhimu wa feasibility study ni kuangalia faida za electric vs diesel engines. It is scientifically proven that electric train is 40% cheaper than diesel Engine, that is the reason why diesel engines are replaced by electric, the same way diesel replaced steam engines.Nani amekwambia tulikosea? Wewe sasa ndiye umekuwa mtaalamu eeh....Ngoja reli yenu imalizike, that is kama itamalizika, ndio tutofautishe mbivu na mbichi.......
Nani amekwambia tulikosea? Wewe sasa ndiye umekuwa mtaalamu eeh....Ngoja reli yenu imalizike, that is kama itamalizika, ndio tutofautishe mbivu na mbichi.......
Hiyo ni testing kuku wewe train zenyewe bado hazijaja na mabehewa ndio yatarajia kuletwa piaLike tree like fruit,The only difference there with our old locomotives is the colour…..I am not waiting for any surprise here.
Aseee umeropoka vya kutosha.mbona hata TAZARA enzi zile za Mwalimu ilipokuwa inafunguliwa ilikuwa na mwonekano mzuri (nje na ndani) zaidi ya haya mawagoni ya wakolomije?
inashangaza sana watu wana flaunt SGR as if ni kitu kipya sana nchini.
je...mnajua kwamba barabara iliyojengwa sambamba na TAZARA kuelekea Zambia inabeba shehena nyingi zaidi kuliko TAZARA? hamjajifunza kitu kutokana na uzoefu huu - au mnajenga tu kama pambo?
Hiyo ni testing kuku ww.Ni ushamba manze. Understand these people have been in the darkness for more than a century.
Tuliimbiwa Reli ni ya umeme, treni ni burret na itafika Morogoro ila so far yote waliyosema ni uongo mtupu...bure kabisa na huo mtambo wa gongo. Treni yenyewe inakaa zile za kubebea mifugo.
Hata Bagamoyo niliambiwa naropoka , matokeo yake unayaona. Hata hili la SGR Niko sahihi 100% Hamna burret train hata moja ni mtungi wa gongo 😭😭😭Hiyo ni testing kuku ww.
Na bado contract testing baada ya Engineering testing kwahiyo subiri usiropoke
Hata Bagamoyo niliambiwa naropoka , matokeo yake unayaona. Hata hili la SGR Niko sahihi 100% Hamna burret train hata moja ni mtungi wa gongo 😭😭😭