Meanwhile Raila anachana mbuga.

Meanwhile Raila anachana mbuga.

As long as we have free,fair and credible elections, whoever wins fair and square will be OUR president! I expect you to raise your new flag high at the swearing in of Uhuru Muigai Kenyatta.Tukutane kwa debe!
 
Mudavadi,Kalonzo na Raila team moja at least this time kura za wakamba,wajaluo na waluhya zitawazidi kikuyu na kalenjin as we know Kenyans vote their tribes first.NASA will win this election.

Prof. P. Lumumba alisema kwenye uchaguzi wao ni kama vile inafanyika census ya makabila gani yana watu wengi zaidi ya mengine. Full ukabila wakati wa votes casting. Baada ya hapo nothing changes. ''Nyani ni walewale sema tu msitu ndo unataka kubadilishwa''
 
Mudavadi,Kalonzo na Raila team moja at least this time kura za wakamba,wajaluo na waluhya zitawazidi kikuyu na kalenjin as we know Kenyans vote their tribes first.NASA will win this election.
Nadhani angalau huo mseto utavunjilia mbali ukabila na nguvu za kimamlaka walizojivika wakikuyu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
While i agree with you not all Kenyans Some***

There are 44tribes in kenya

Sent using Jamii Forums mobile app
Yes 44 tribes including the Indian tribe they had launched two weeks before.
IMG_20170610_005518.jpg
 
Sam,Raila si ndo mmoja wa wale jamaa tulikuwa tunaambiwa kuhusu tukiwa shuleni?Kwa lugha ya 'kilami' wanaitwa 'future leaders of tommorrow'! Bado wakati wake haujafika bana! Hehehe😀 Forgive me bro,just couldnt help myself!
Tulia 9/8 mtawasaidia na makoti. Watapigwa baridi mpaka wakome.
IMG_20170723_110319.jpg
 
Prof. P. Lumumba alisema kwenye uchaguzi wao ni kama vile inafanyika census ya makabila gani yana watu wengi zaidi ya mengine. Full ukabila wakati wa votes casting. Baada ya hapo nothing changes. ''Nyani ni walewale sema tu msitu ndo unataka kubadilishwa''
ukabila unaifanya kukua kiuchumi kwa haraka
 
Back
Top Bottom