pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Inamaanisha Raila kwisha! kwa lugha ya kindorobo.
Sasa wanaosema hivyo si wafuasi wa Raila?Inamaanisha Raila kwisha! kwa lugha ya kindorobo.
Talking of the big fishes. Wale wanaozaliana sana hence high population.While i agree with you not all Kenyans Some***
There are 44tribes in kenya
Sent using Jamii Forums mobile app
Mudavadi,Kalonzo na Raila team moja at least this time kura za wakamba,wajaluo na waluhya zitawazidi kikuyu na kalenjin as we know Kenyans vote their tribes first.NASA will win this election.
Nadhani angalau huo mseto utavunjilia mbali ukabila na nguvu za kimamlaka walizojivika wakikuyuMudavadi,Kalonzo na Raila team moja at least this time kura za wakamba,wajaluo na waluhya zitawazidi kikuyu na kalenjin as we know Kenyans vote their tribes first.NASA will win this election.
Yes 44 tribes including the Indian tribe they had launched two weeks before.While i agree with you not all Kenyans Some***
There are 44tribes in kenya
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulia 9/8 mtawasaidia na makoti. Watapigwa baridi mpaka wakome.Sam,Raila si ndo mmoja wa wale jamaa tulikuwa tunaambiwa kuhusu tukiwa shuleni?Kwa lugha ya 'kilami' wanaitwa 'future leaders of tommorrow'! Bado wakati wake haujafika bana! Hehehe😀 Forgive me bro,just couldnt help myself!
It's good shit try it, you will like it.What the fvck is that shit you wrote?
Hahaha Raila Tano Tena!!!RAILA TANO TENA! Tumpe mzee muhula wake wa tatu kama kiongozi rasmi wa upinzani bana!😀
Kweli,hawa jamaa hawako sawa akilini! Hehe!Sasa wanaosema hivyo si wafuasi wa Raila?
ukabila unaifanya kukua kiuchumi kwa harakaProf. P. Lumumba alisema kwenye uchaguzi wao ni kama vile inafanyika census ya makabila gani yana watu wengi zaidi ya mengine. Full ukabila wakati wa votes casting. Baada ya hapo nothing changes. ''Nyani ni walewale sema tu msitu ndo unataka kubadilishwa''
MK254 ana tension ya ajabu kabisa sijui ameona niniRaila !!!!!
Tibim....
Hata nisha nunua flag za Kenya na NASA for Celebrations come 9th august [emoji38][emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameona Canaan ana nunua Hoodie akuwe waya-hoodie kama wana NASA tibim Canaan Tushafika [emoji38][emoji38]MK254 ana tension ya ajabu kabisa sijui ameona nini