Meanwhile Raila anachana mbuga.

anachanja mbuga kuelekea wapi?,anawezaakawa anachanja mbuga llkn anapishana na ``gari`` la kura
 
i really doubt if the same old Rao will get more votes in Nakuru, Uasin Gisu or Meru...same as Uhuru might not get those big margins in Kisii land...if u look at the recent campaigns at Gusii stadium both Nasaa n Jubilee had large numbers there...but come voting day the patterns change....
 
Mudavadi,Kalonzo na Raila team moja at least this time kura za wakamba,wajaluo na waluhya zitawazidi kikuyu na kalenjin as we know Kenyans vote their tribes first.NASA will win this election.
Waluhya hawajitokezi kupiga kura kama sehemu zingine...Nasa wakifanikiwa kuwahamasisha basi Ikulu wanaichungulia...
 
A new poll! It all depends on the respondents, location, etc. Let us wait for August 8 ,first!
 
Safari hii ni nafasi ya Wakenya kuwatia nidhamu William Ruto na Uhuru Kenyatta. Hii ikifanyika wanainchi watafahamu nguvu waliyonayo dhidi ya hawa mabepari. Raila anaamini katika siasa za kijamaa na hii itamsaidia kutibu majeraha yaliyo sababishwa na ukabila uliyodumu kwa muda mrefu.

Hii pia italeta matumaini mapya kaitka Afrika Mashariki.
 
Waluhya hawajitokezi kupiga kura kama sehemu zingine...Nasa wakifanikiwa kuwahamasisha basi Ikulu wanaichungulia...
Si unajua mara ya mwisho mudavadi alijitenga ,Kumbuka Uhuru alishinda kwa asilimia 50.07,Raila alipata 43.31,Mudavadi asilimia nne,hivyo wakihimiza sana Raila aweza shinda.
 
Kwani Kenya wanafanya uchaguzi au ni mashindano ya kabila gani wamezaliana sana kila baada ya miaka mitano!!!!????
Kenya kweli wao ni kabila tu,hata awe hafai,Yaani mitandao yao ni ukabila nje nje.
 
Kumbukeni: Hii ni Afrika

Uhuru atashinda kwa Mbinu yoyote ile...ya halali au haramu.

Demokrasia ya Afrika ni ya mdomoni tu si ya moyoni.
 
Toka kura za maoni zionyeshe Hillary Clinton atashinda dhidi ya Trump, nimekosa imani na kura za maoni duniani kote! Hao think-tank hawana tofauti na hawa Twaweza wetu.
 
Toka kura za maoni zionyeshe Hillary Clinton atashinda dhidi ya Trump, nimekosa imani na kura za maoni duniani kote! Hao think-tank hawana tofauti na hawa Twaweza wetu.
 
Ameona Canaan ana nunua Hoodie akuwe waya-hoodie kama wana NASA tibim Canaan Tushafika [emoji38][emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
''Canaan ya chang'aa na busaa maanake nimesikia huyo jamaa wa vitendawili(Raila) amewaambia akiwa rais jambo la kwanza ni kuhalalisha pombe haramu! Wakenya mnamuamini mungu?''....Ndiiiiiooooo🙂.Si maneno yangu,bali ni maneno ya naibu rais William Samoei Kipchirchir Arap Ruto akiwa kule kwa kina Wetangula,Bungoma. Hehehe,hii movie aisee!😀
 
Toka kura za maoni zionyeshe Hillary Clinton atashinda dhidi ya Trump, nimekosa imani na kura za maoni duniani kote! Hao think-tank hawana tofauti na hawa Twaweza wetu.
 
If Raila and his team fails again, he must step down from Kenyan politics.
It's high time now he deserve to beat Jubilee team.
All in all, we wish the Kenyans a happy full and a peaceful 2017 general elections.

The Great Gatsby
 
Sense...Uhuru=Jomo Kenyatta
Sense...Raila= Jaramogi Oginga Odinga.

The Great Gatsby
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…