Mahitaji
Nyama ya kusaga nusu
Kitunguu maji 1
Kitunguu saumu 2 teaspoon
Tangawizi 1 teaspoon
Kotmir (giligilani) 1 teaspoon
Bizar ya pilau 1/2 teaspoon
Mdalasini 1/2 teaspoon
Bread crumbs
Chumvi kiasi
Ndimu/limau 1
Pilipili manga 1 teaspoon
Pilipili ya kuwasha
nyanya. 2 kubwa
Nyanya ya kopo
Mayai 2-3 inategemea na ukubwa
Mafuta ya kupikia
Spaghetti
#1 meatballs
Namna ya kutaarisha
Weka nyama kwenye bakuli safi then tia pilipili manga,chumvi kiasi,tangawizi,saumu changanya vizuri
Mimina bread crumb then changanya
Katika bakuli lengine dogo vunja mayai na koroga then mimina katika nyama halafu changanya
Tengeneza viduara ukubwa kiasi then weka pembeni
Weka pan na mafuta kiasi hakikisha mafuta yanapata moto vziur then kaanga meatballs hadi ziwive na kuwa dark brown
Toa then weka zijichuje mafuta
....#2 sauce
Weka mafuta kidogo katika sufuria
Kaanga kitunguu maji then weka saumu na kotmir kaanga vizuri
Mimina nyanya uliosaga na nyanya ya kopo
Weka chumvi,limau na pililipi wacha ichemke
Weka meatballs zako ndani ya sauce baada ya 5 minute epua
....#3 spaghetti
Chemsha maji hadi yapate moto
Mimina spaghetti na wacha ziwive then chuja maji
Weka katika sahani na weka meatballs juu yake
Enjoy
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Nyama ya kusaga nusu
Kitunguu maji 1
Kitunguu saumu 2 teaspoon
Tangawizi 1 teaspoon
Kotmir (giligilani) 1 teaspoon
Bizar ya pilau 1/2 teaspoon
Mdalasini 1/2 teaspoon
Bread crumbs
Chumvi kiasi
Ndimu/limau 1
Pilipili manga 1 teaspoon
Pilipili ya kuwasha
nyanya. 2 kubwa
Nyanya ya kopo
Mayai 2-3 inategemea na ukubwa
Mafuta ya kupikia
Spaghetti
#1 meatballs
Namna ya kutaarisha
Weka nyama kwenye bakuli safi then tia pilipili manga,chumvi kiasi,tangawizi,saumu changanya vizuri
Mimina bread crumb then changanya
Katika bakuli lengine dogo vunja mayai na koroga then mimina katika nyama halafu changanya
Tengeneza viduara ukubwa kiasi then weka pembeni
Weka pan na mafuta kiasi hakikisha mafuta yanapata moto vziur then kaanga meatballs hadi ziwive na kuwa dark brown
Toa then weka zijichuje mafuta
....#2 sauce
Weka mafuta kidogo katika sufuria
Kaanga kitunguu maji then weka saumu na kotmir kaanga vizuri
Mimina nyanya uliosaga na nyanya ya kopo
Weka chumvi,limau na pililipi wacha ichemke
Weka meatballs zako ndani ya sauce baada ya 5 minute epua
....#3 spaghetti
Chemsha maji hadi yapate moto
Mimina spaghetti na wacha ziwive then chuja maji
Weka katika sahani na weka meatballs juu yake
Enjoy
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums