Mebeberu wana malengo na Tanzania? Waanza uzushi wa fujo baada ya JPM, CCM Kushinda. Wamzushia Magufuli ni dikteta. Kwanini tunanyamaza?

Mebeberu wana malengo na Tanzania? Waanza uzushi wa fujo baada ya JPM, CCM Kushinda. Wamzushia Magufuli ni dikteta. Kwanini tunanyamaza?

Wanabodi,

Kuhusu Uchaguzi Mkuu wetu na ushindi wa kishindo wa JPM na CCM, huko nyuma niliwahi kutoa angalizo hili muhimu la kiusalama
Security alert kwa Serikali yetu, tuwe makini sana na Marekani: Kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga Kutu-Libya?

Kabla ya hapo, mara kadhaa vyombo vya habari vya kimataifa vya mabeberu, vimekuwa vikiandika makala za uongo na uzushi kuhusu Tanzania zikiwemo kumsema vibaya rais wetu Magufuli ikiwemo kumsingizia kuwa ni dikiteta na anaiendesha Tanzania kidikiteta, na mara zote, uzushi huu huwa haukanushwi, hivyo unaendelea kurudiwa na kurudiwa tena na tena.
Udikiteta: Uongo Ukisemwa Sana na Kuachwa Bila Kukanushwa Hugeuka Ukweli!. Dawa ya Uongo ni Ukweli.

Uongo unaosemwa kumhusu Rais wetu Magufuli na nchi yetu Tanzania, usipuuzwe! Ukanushwe na ukweli usemwe!

Serikali yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian": Je, ni kweli? Kama si kweli, Tusiukubali Uongo huu, Tuukanushe!

Leo nimekutana na makala hii katika mtandao wa kibeberu wa WPR, ambayo iliandikwa October 8 na mwandishi Sofia Naimam, ikizungumzia uchaguzi Mkuu wa Tanzania, Mabeberu hawa, kati ya wagombea wote 16 wa urais wa Tanzania, wao wakaamua kumhoji mgombea mmoja tuu, Tundu Lissu, na akawaambia anakwenda kushinda urais wa Tanzania, na wao wakaamini, hivyo sasa wanaandika makala za kututisha kuwa Tundu Lissu asipotangazwa mshindi, Tanzania hapatakalika!.

Watu wengine waliohojiwa kwenye makala hii ni Zitto Kabwe, Robert Amsterdam, Fatma Karume, Balozi wa Marekani,
Thabit Jacob,

Ili mwandishi kubalance story yake, akaandika kuwa ameitafuta Ikulu yetu na Tume ya Uchaguzi NEC, wote wamegoma kutoa ushirikiano, swali la kujiuliza ni kwanini mabeberu hawa, wazushe kuhusu Tanzania halafu waitafute Ikulu yetu na NEC, wakati the right mtu wa kutafutwa ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas?!.

Kwavile mimi ni mwandishi wa habari, na mchambuzi wa habari, news analysis, nitawachambulia makala hii kwa kueleza ukweli ni wapi mwandishi kasema kweli, wapi kasema uongo na wapi kaandika uzushi kwenye makala hii katika mtandao huu wa vyombo vya habari vya kibeberu.

Haiwezekani kila siku mabeberu hawa kutuzushia mambo ya uongo na uzushi kuhusu Tanzania na rais wetu, na sisi tunanyamaza tuu na kuunyamazia uongo na uzushi huu, huku tunao waandishi Watanzania wazalendo wenye uwezo wa kuukanusha, tunakuwa hatulitendei haki taifa letu, hatuwatendei haki, Watanzania. Tena ningewaomba Dr. Abbas na timu yake, kuwa more proactive kuzungumza mazuri ya nchi yetu na sio kusubiri watu watunge uongo na uzushi kisha ndio sisi tuje kujibu kwa kuwa reactive, kama ule uzushi wa juzi kati wa BBC Swahili kuhusu madini yetu. Uongo na Upotoshaji huu wa BBC London kuhusu Tanzania kipindi hiki cha kampeni una maana gani? Sio mbinu za mabeberu? Wapi weledi wa ki-BBC?

Makala yenyewe ya uzushi ni hii, na chini ina wasifu wa jmwandishi, ila pia, mimi kama mwandishi, naomba pia nimtendee haki mwandishi wa makala hii, kwa kukiri, katika media zetu hapa Tanzania, tuna waandishi wachache sana wa kiwango hiki cha uandishi, na sina uhakika sana kama kwenye wasaidizi wa Dr. Abbas, anao watu wenye uwezo wa kupangua uzushi kama huu, japo namfahamu Dr.Abbasi yeye kama yeye anaweza, ila watu wake.

Kwa wale wenzangu na mimi, wa lugha yetu hii ya madafu, tuishie hapa, maana...

President John Magufuli hands in his nomination form to the chairman of the National Electoral Commission

President John Magufuli hands in his nomination form to the chairman of the National Electoral Commission, in Dodoma, Tanzania, Aug. 25, 2020 (AP photo).

Tanzania’s Opposition Fears Election Violence Because, Lissu Says, ‘We Are Winning’​

Sophie Neiman Thursday, Oct. 8, 2020



Uchambuzi wangu, unafuatia, ili twende pamoja, nitaichambua para moja moja kwa kuonyesha ipi ni kweli, upi ni uongo na upi ni uzushi.
Karibuni
Paskali
Nilikuwa nakuheshimu sana, ila kwa sasa nakudharau kama Jiwe

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Wanabodi,

Kuhusu Uchaguzi Mkuu wetu na ushindi wa kishindo wa JPM na CCM, huko nyuma niliwahi kutoa angalizo hili muhimu la kiusalama
Security alert kwa Serikali yetu, tuwe makini sana na Marekani: Kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga Kutu-Libya?

Kabla ya hapo, mara kadhaa vyombo vya habari vya kimataifa vya mabeberu, vimekuwa vikiandika makala za uongo na uzushi kuhusu Tanzania zikiwemo kumsema vibaya rais wetu Magufuli ikiwemo kumsingizia kuwa ni dikiteta na anaiendesha Tanzania kidikiteta, na mara zote, uzushi huu huwa haukanushwi, hivyo unaendelea kurudiwa na kurudiwa tena na tena.
Udikiteta: Uongo Ukisemwa Sana na Kuachwa Bila Kukanushwa Hugeuka Ukweli!. Dawa ya Uongo ni Ukweli.

Uongo unaosemwa kumhusu Rais wetu Magufuli na nchi yetu Tanzania, usipuuzwe! Ukanushwe na ukweli usemwe!

Serikali yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian": Je, ni kweli? Kama si kweli, Tusiukubali Uongo huu, Tuukanushe!

Leo nimekutana na makala hii katika mtandao wa kibeberu wa WPR, ambayo iliandikwa October 8 na mwandishi Sofia Naimam, ikizungumzia uchaguzi Mkuu wa Tanzania, Mabeberu hawa, kati ya wagombea wote 16 wa urais wa Tanzania, wao wakaamua kumhoji mgombea mmoja tuu, Tundu Lissu, na akawaambia anakwenda kushinda urais wa Tanzania, na wao wakaamini, hivyo sasa wanaandika makala za kututisha kuwa Tundu Lissu asipotangazwa mshindi, Tanzania hapatakalika!.

Watu wengine waliohojiwa kwenye makala hii ni Zitto Kabwe, Robert Amsterdam, Fatma Karume, Balozi wa Marekani,
Thabit Jacob,

Ili mwandishi kubalance story yake, akaandika kuwa ameitafuta Ikulu yetu na Tume ya Uchaguzi NEC, wote wamegoma kutoa ushirikiano, swali la kujiuliza ni kwanini mabeberu hawa, wazushe kuhusu Tanzania halafu waitafute Ikulu yetu na NEC, wakati the right mtu wa kutafutwa ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas?!.

Kwavile mimi ni mwandishi wa habari, na mchambuzi wa habari, news analysis, nitawachambulia makala hii kwa kueleza ukweli ni wapi mwandishi kasema kweli, wapi kasema uongo na wapi kaandika uzushi kwenye makala hii katika mtandao huu wa vyombo vya habari vya kibeberu.

Haiwezekani kila siku mabeberu hawa kutuzushia mambo ya uongo na uzushi kuhusu Tanzania na rais wetu, na sisi tunanyamaza tuu na kuunyamazia uongo na uzushi huu, huku tunao waandishi Watanzania wazalendo wenye uwezo wa kuukanusha, tunakuwa hatulitendei haki taifa letu, hatuwatendei haki, Watanzania. Tena ningewaomba Dr. Abbas na timu yake, kuwa more proactive kuzungumza mazuri ya nchi yetu na sio kusubiri watu watunge uongo na uzushi kisha ndio sisi tuje kujibu kwa kuwa reactive, kama ule uzushi wa juzi kati wa BBC Swahili kuhusu madini yetu. Uongo na Upotoshaji huu wa BBC London kuhusu Tanzania kipindi hiki cha kampeni una maana gani? Sio mbinu za mabeberu? Wapi weledi wa ki-BBC?

Makala yenyewe ya uzushi ni hii, na chini ina wasifu wa jmwandishi, ila pia, mimi kama mwandishi, naomba pia nimtendee haki mwandishi wa makala hii, kwa kukiri, katika media zetu hapa Tanzania, tuna waandishi wachache sana wa kiwango hiki cha uandishi, na sina uhakika sana kama kwenye wasaidizi wa Dr. Abbas, anao watu wenye uwezo wa kupangua uzushi kama huu, japo namfahamu Dr.Abbasi yeye kama yeye anaweza, ila watu wake.

Kwa wale wenzangu na mimi, wa lugha yetu hii ya madafu, tuishie hapa, maana...

President John Magufuli hands in his nomination form to the chairman of the National Electoral Commission

President John Magufuli hands in his nomination form to the chairman of the National Electoral Commission, in Dodoma, Tanzania, Aug. 25, 2020 (AP photo).

Tanzania’s Opposition Fears Election Violence Because, Lissu Says, ‘We Are Winning’​

Sophie Neiman Thursday, Oct. 8, 2020



Uchambuzi wangu, unafuatia, ili twende pamoja, nitaichambua para moja moja kwa kuonyesha ipi ni kweli, upi ni uongo na upi ni uzushi.
Karibuni
Paskali
Bro Pascal!
ume asses impact ya bandiko lako?
 
Mimi naanza na haya:
1. Fatma Karume was sacked because of professional misconduct. Her sacking has nothing to do with her political activism.

2. If Tanzanians decide to give Magufuli a second term by electing him ( which I believe Tanzanians are going to do on 28th), It is stupid to think that Magufuli's second term will erode Tanzania's democratic norms unless democracy has another meaning unknown to us.

3. I urge the house, among its first business, to look into scrapping the presidential term limit as it is an undemocratic and unconstitutional provision in our constitution.
Pathetic

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
andiko tumelisoma.lipo vizuri.hujaeegemea upande wowote.Hongera Mayala kwa uchambuzi wa kina.
this cheapest propaganda by medias historical all point to chaos.Miaka yote hizi chokochoko za vyombo vya nje ujue wana maslahi wanayataka.
sisi hatutaki mfano wa Libya.tunaipend amani.
Hakuna amani bila haki, bora tuishi kama Libya lakini siyo kuongozwa na fisiemu, tunechoka

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Kwa maoni yangu, aina ya misamiati ya lugha ya kingereza iliyotumika katika makala haya ya SOPHIE NEIMAN si ya mtu mwenye uzoefu wa matumizi ya lugha ya kingereza kwa mazungumzo.
 
"If you are neutral in situations of injustice, you have chosen the side of the oppressor. If an elephant has its foot on the tail of a mouse and you say that you are neutral, the mouse will not appreciate your neutrality" - Desmond Tutu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mayala keep it up. You are doing a great job for the wider interests of this beautiful country. Don't expect cheers and congrats from wicked people whose eyes see not beyond their parties interest.

Please be courageous, there are people who are watching and bebefiting from your valuable contribution.

Aluta continua
 
Mwaka huu MABEBERU WATAZAA NA MTU

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Mayalla mbona wewe unatosha kukanusha, unataka nani akanushe?
Kama Rais, mawaziri, mabalozi una access nao.
Kao nao washauri wajibu hizo kashfa.
Huna haja ya kuja humu, au unataka ufahamike na watu kuwa ni mtetezi wa serikali?

Elimu yote uliyonayo usukusu haujakutoka tu kama bwana yule!!!!!
 
Paskali nimeona hoja zako za utetezi vizuri sana. Ni hivi, uchaguzi huu ukiwa huru na haki utakuwa na hatari zaidi kwa ccm. Mambo yafuatayo yatatokea, iwapo hata ccm itashinda, lakini haiwezi kushinda kuendana na matamanio yao. Hali hii itawafanya ccm kukataa kukubali matokeo yasiyobeba matamanio yao, na kuishia kuutia doa uchaguzi wote.

Kwa vyovyote vile idadi ya wabunge wa upinzani itakuwa kubwa, jambo ambalo ccm hawako tayari kuliona likitokea, maana kutawanyima uwanja wa kufanya chochote kama watakavyo. Hivyo lazima watavuruga mchakato. Na iwapo wapinzani wataamua kusimamia mshindi wa halali kutangazwa, lazima kutatokea machafuko na hata vifo. Bado wiki 2.
 
Sasa hivi mmechelewa hata mlete mabandiko mia watu wanakiu na mabadiliko walihaidiwa mengi na matarajio yalikuwa mengi ila maisha ya watanzania kila siku heri ya jana na ukisema sana wanakuambia ulikuwa mpga dili wanasahau kuna wamachinga n wakulima nao ni wapiga dili safari hii ccm wanahali mbaya kuliko chaguzi zote na huo ndio ukweli mchungu
 
Tunapoelekea ktk kipindi hiki cha kampeni za lala salama nashauri vyombo vyetu vya ulinzi viwe macho masaa 24 hakuna kulala, mipaka yako yote rasmi na isiyo rasmi ilindwe.....maaana maadui wasio ipenda Nchi yetu wanatafuta nafasi yoyote ktk kipindi hiki kutuingiza ktk vurugu.

Njia pekee ya kuwajibu hao wasio itakia mema nchi yetu ni kumpigia Kura za kutosha Magufuli October 28,
naamini Magufuli atashinda kihalali wala hakuna sababu ya kufikiria suala la kuiba kura wala mizengwe yoyote kwa sababu Magufuli amejiwekea rekodi nzuri ktk kipindi chake cha miaka5.
 
Itisha maandamano tukawatoe kwenye vyumba vyao vya kurushia matangazo, umenikumbusha kuangalia al-jazeera nione kama bado wanaendelea kuirusha laivu...
 
Wanabodi,

Kuhusu Uchaguzi Mkuu wetu na ushindi wa kishindo wa JPM na CCM, huko nyuma niliwahi kutoa angalizo hili muhimu la kiusalama
Security alert kwa Serikali yetu, tuwe makini sana na Marekani: Kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga Kutu-Libya?

Kabla ya hapo, mara kadhaa vyombo vya habari vya kimataifa vya mabeberu, vimekuwa vikiandika makala za uongo na uzushi kuhusu Tanzania zikiwemo kumsema vibaya rais wetu Magufuli ikiwemo kumsingizia kuwa ni dikiteta na anaiendesha Tanzania kidikiteta, na mara zote, uzushi huu huwa haukanushwi, hivyo unaendelea kurudiwa na kurudiwa tena na tena.
Udikiteta: Uongo Ukisemwa Sana na Kuachwa Bila Kukanushwa Hugeuka Ukweli!. Dawa ya Uongo ni Ukweli.

Uongo unaosemwa kumhusu Rais wetu Magufuli na nchi yetu Tanzania, usipuuzwe! Ukanushwe na ukweli usemwe!

Serikali yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian": Je, ni kweli? Kama si kweli, Tusiukubali Uongo huu, Tuukanushe!

Leo nimekutana na makala hii katika mtandao wa kibeberu wa WPR, ambayo iliandikwa October 8 na mwandishi Sofia Naimam, ikizungumzia uchaguzi Mkuu wa Tanzania, Mabeberu hawa, kati ya wagombea wote 16 wa urais wa Tanzania, wao wakaamua kumhoji mgombea mmoja tuu, Tundu Lissu, na akawaambia anakwenda kushinda urais wa Tanzania, na wao wakaamini, hivyo sasa wanaandika makala za kututisha kuwa Tundu Lissu asipotangazwa mshindi, Tanzania hapatakalika!.

Watu wengine waliohojiwa kwenye makala hii ni Zitto Kabwe, Robert Amsterdam, Fatma Karume, Balozi wa Marekani,
Thabit Jacob,

Ili mwandishi kubalance story yake, akaandika kuwa ameitafuta Ikulu yetu na Tume ya Uchaguzi NEC, wote wamegoma kutoa ushirikiano, swali la kujiuliza ni kwanini mabeberu hawa, wazushe kuhusu Tanzania halafu waitafute Ikulu yetu na NEC, wakati the right mtu wa kutafutwa ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas?!.

Kwavile mimi ni mwandishi wa habari, na mchambuzi wa habari, news analysis, nitawachambulia makala hii kwa kueleza ukweli ni wapi mwandishi kasema kweli, wapi kasema uongo na wapi kaandika uzushi kwenye makala hii katika mtandao huu wa vyombo vya habari vya kibeberu.

Haiwezekani kila siku mabeberu hawa kutuzushia mambo ya uongo na uzushi kuhusu Tanzania na rais wetu, na sisi tunanyamaza tuu na kuunyamazia uongo na uzushi huu, huku tunao waandishi Watanzania wazalendo wenye uwezo wa kuukanusha, tunakuwa hatulitendei haki taifa letu, hatuwatendei haki, Watanzania. Tena ningewaomba Dr. Abbas na timu yake, kuwa more proactive kuzungumza mazuri ya nchi yetu na sio kusubiri watu watunge uongo na uzushi kisha ndio sisi tuje kujibu kwa kuwa reactive, kama ule uzushi wa juzi kati wa BBC Swahili kuhusu madini yetu. Uongo na Upotoshaji huu wa BBC London kuhusu Tanzania kipindi hiki cha kampeni una maana gani? Sio mbinu za mabeberu? Wapi weledi wa ki-BBC?

Makala yenyewe ya uzushi ni hii, na chini ina wasifu wa jmwandishi, ila pia, mimi kama mwandishi, naomba pia nimtendee haki mwandishi wa makala hii, kwa kukiri, katika media zetu hapa Tanzania, tuna waandishi wachache sana wa kiwango hiki cha uandishi, na sina uhakika sana kama kwenye wasaidizi wa Dr. Abbas, anao watu wenye uwezo wa kupangua uzushi kama huu, japo namfahamu Dr.Abbasi yeye kama yeye anaweza, ila watu wake.

Kwa wale wenzangu na mimi, wa lugha yetu hii ya madafu, tuishie hapa, maana...

President John Magufuli hands in his nomination form to the chairman of the National Electoral Commission

President John Magufuli hands in his nomination form to the chairman of the National Electoral Commission, in Dodoma, Tanzania, Aug. 25, 2020 (AP photo).

Tanzania’s Opposition Fears Election Violence Because, Lissu Says, ‘We Are Winning’​

Sophie Neiman Thursday, Oct. 8, 2020



Uchambuzi wangu, unafuatia, ili twende pamoja, nitaichambua para moja moja kwa kuonyesha ipi ni kweli, upi ni uongo na upi ni uzushi.
Karibuni
Paskali
Uvccm tulitegemea mda huu muwe mshafika kilimanjaro kukabiliana na moto, Sasa huo uzalendo pori wenu ni wa kuimba mapambio na kumsifu meko tu, linapokuja suala linalohitaji uzalendo mnajificha kama mnadaiwa kodi na faza house mzaramo [emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom