MandingoJR
Senior Member
- Jul 5, 2022
- 142
- 215
Na ndio mana una pengo,Mzee Jongo,
Nyumba yake ya Udongo,
Ukimuona mpige Dongo.
Commentator Mpira umeisha au?Tumerudi mapumziko,
Mtibwa bado wanacheza kwa kupanic
NdiooooooooooCommentator Mpira umeisha au?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na ndio mana una pengo,
Ningekuoa,sema huna malengo ,
Kama ulivo na tabia ya uongo,
Tulia basi nikupe michango.
Ndani ya masaa 24 nitakutafuta Dream Queen[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hebu niache mie nina furaha zangu Wananchi tumeshinda na Ligi tunaongoza kwa point 10
[emoji169][emoji172]