Mechi 3 bora za wakati wote!

Ile mechi acha kabisa. Suarez aliboa watu wengi sana. Ile ndio ilikuwa nafasi kwa timu ya Africa kuingia nusu fainali
 

zimejiposti
 
Namba 3 ndio balaa kwa jinsi walivyokuwa milan anaongoza kwa aggregate 3 baadae anafungwa 4.timu ambayo ilikusanya watu wabishi kama maldini,nesta,gattuso,costacurta,dida
 


So sad My dada Nifah pole sana... so karibu tujumuike pa1 Kwa mchawi wa soka kuwahi kutokea ulimwenguni, La pulga in english Atomic flea, in french puces atomique, mpira wenyewe unatamani kila baada ya sekunde umfikie yeye.
 
Italy vs France Europe 2000 semi final France wanapata penati DK za nyiongeza baada ya beki xavieri kushika ndani ya 18afu inapigwa Na Zidane. Figo anavua T-shirt baada kuona zizou anaweka mpira vzr
 
Italy vs France Europe 2000 semi final France wanapata penati DK za nyiongeza baada ya beki xavieri kushika ndani ya 18afu inapigwa Na Zidane. Figo anavua T-shirt baada kuona zizou anaweka mpira vzr
Ni portugal v france, wapi nuno gomez, jao pinto, rui coster, simao, victor baiya, xavier, miguel

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
Brazil 1 , Mnyama 7 ... Hii ninayo kwa external full hd naiangaliaga mara kwa mara


mkuu we acha tu , hakuna siku iliyoniuma na kuisahau kama siku ya final 2014, dakika za lala salama tukakalishwa chini, matokeo yakawa Argentina 0-1 mabingwa...kwakweli sina hamu.ukizingatia defence yetu ilikua imara sana kana kwamba walishindwa kupenya kiurahisi,huku otamendi,marcos rojo,garay,.dah basi tu. GORTZE alituhuzunisha waargentina that day......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…