Mechi 3 bora za wakati wote!

Ha
Hapo kwa Aseno tumefanana kila kitu
 
Mechi yenu na Barcelona ilikuwa 2006.
Vp hukumbuki mechi ya Simba na Yanga ile ya 3-3 ?

Sema ukweli wako..!!
 
haa haa mkuu nikisikiaga jina hili (Instabul) huwa kumbukumbu zinareflect na siku husika. Much respect kwa kikosi kile under Steven Gerald
wengi watamsifia Gerrard na kipa Dudek. Ila kwasisi watu wa mpira didi hamann ndio aliefanya kazi kubwa ya kukata mawasiliano ya kiungo cha Milan.
 
Watu mna kumbukumbu haswa
 

Marhabaaaaaaaaaa...
Tazama goli la pili Mtakatifu Del Piero alivocheza box to box aysee
 
FAINALI YA CHAMPIONS LEAGUE MWAKA 1994
Milan 4-0 Barcelona

NUSU FAINALI YA CHAMPIONS LEAGUE 2007
AC Milan 3-0 Manchester UTD

FAINALI YA CHAMPIONS LEAGUE 2007
AC Milan 2-1 Liverpool

Milan Milan solo conte
Milan Milan sempre perte...
 
Newcastle 4 Arsenal 4 febr 5 2011 Arsenal anatangulia kufunga goli zote 4 akiwapo Van parsie then newcastle wanarudisha yote Tiote akisawazisha
Hii game naikumbuka vizuri sana, ndani ya dakika 9 za mwanzo, arsenal ilikua kifua mbele kwa magoli 3-0. Van persie alikua wa moto balaa.

Goli la mwisho la Newcastle lilifungwa kwa shuti Kali sana la mita 35 la mu-ivory coast Cheikh Tiote.

Asilimia 80 ya mashabiki wa Newcastle waliondoka ndani ya nusu saa ya kipindi cha kwanza.

Hakika ilikua bonge la mechi.
 
Acha kabisa Dada yangu.

Nakumbuka fainali Arsenal waliingia baada ya kuwatoa Madrid Nusu fainali. Thierry Henry akipiga goli la pekee alilojipasia na kufanya arsenal kuibuka na ushindi wa 1-0 kabla ya kutinga fainali.

Ilikua mwaka 2006
 
Liverpool 5 Alaves 4 after extra time. Fainali ya UEFA CUP (EUROPA LEAGUE) 2001. Bonge la mechi!
 
1999 Bayern Munich vs.Manchester United. ..adi dakika 89 Bayern 1 dakika za nyongeza man u anachukua.ndooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…