Mechi 3 bora za wakati wote!

Mechi 3 bora za wakati wote!

Ungejua ulivyokitonesha kidonda changu kilichokwisha kupona?
Basi tu.
Hata hivyo mechi zilizowahi kuniuma maishani,nililia zaidi ya msiba;zipo 2 tu.
1.France vs Italy 2006 (World Cup Final)Nilikuwa upande wa France
2.Arsenal vs Barcelona (UEFA Final)
Nimesahau mwaka ila nakumbuka Jens Lehman alipewa red card kwa madai ya kumfanyia Samuel Eto'o madhambi.
Kama sio ile red card kombe lilikuwa letu kabisa [emoji24] [emoji24] [emoji24].
Mechi ile ilinifanya nikamchukia Eto'o na Barcelona hadi leo.
cc BAK
Daa sijajua kama nitakuliza jamani pole ila kuna kale kamsemo kanasema hata ukilia viboko utakula tuu ila mimi nakupa pole sana na viboko hutakula nlikua nataka niongeze na ile ya 8-2 ila wacha niache..

nakumbuka game hiyo barca ya Akina henrik Larson yule Msweden kama sikosei alitupia,Poleni sana iko siku nanyi mtakuja beba hiyo ndoo.
 
Italy 1 South korea 2 world cup 2002 Italia anaanza funga Korea anasawazisha na kufunga la pili zile dakika za goli la dhahabu.

Italy nje mpka wanamtimua mchezaji wa South korea aliyekua akicheza italia kama sikosei ni Perugia
 
Germany vs Italy semi final world cup 2006.....
Germany anakufa goli 2 kwa 0 ndani ya dk ya 118 na 120....

Marco materazzi anafunga bonge la bao baada ya kupokea pande maridhawa kwa el maestro pirlo anangalia kushota anapiga kulia.
goli la kwanza alifunga Fabio Grosso sio Marco materazzi
 
hUU NI MTAZAMO WANGU...



1. AC MILAN VS LIVERPOOL UEFA CHAMPIONS LEAGUE FINAL 2007



Hiyo namba 2 pamoja na ushabiki wangu kwa Chelsea nadhani ndiyo namba moja kwa mashabiki wengi wa mpira...that is true spirit.


2. CHELSEA vs BAYERN MUNICH UEFA CHAMPIONS LEAGUE 2012 FINAL



....these matches huwa zinanipa nguvu ya kuendelea kupigana maana najua hata pale ambapo dunia nzima itaamini siwezi, kama mimi ninaamini, inatosha...na nitafanikiwa!!! These are matches to talk about...


3. CHELSEA VS BARCELONA UEFA GAME MAY 2009



Mechi ambayo inanifundisha kuwa the world is not fair...nyanyuka pangusa vumbi...move on with life!!!
 
hUU NI MTAZAMO WANGU...



1. AC MILAN VS LIVERPOOL UEFA CHAMPIONS LEAGUE FINAL 2007



Hiyo namba 2 pamoja na ushabiki wangu kwa Chelsea nadhani ndiyo namba moja kwa mashabiki wengi wa mpira...that is true spirit.


2. CHELSEA vs BAYERN MUNICH UEFA CHAMPIONS LEAGUE 2012 FINAL



....these matches huwa zinanipa nguvu ya kuendelea kupigana maana najua hata pale ambapo dunia nzima itaamini siwezi, kama mimi ninaamini, inatosha...na nitafanikiwa!!! These are matches to talk about...


3. CHELSEA VS BARCELONA UEFA GAME MAY 2009



Mechi ambayo inanifundisha kuwa the world is not fair...nyanyuka pangusa vumbi...move on with life!!!

Daaah! Hii kwakweli ndo listi bora kwangu! Hizi mechi sitokaa nizisahau
 
France V/S Italy 2006


Hii mechi ilienda kinyume sana na mategemeo ya wengi...ingawa mimi nilifurahia Italy kushinda!!! [HASHTAG]#pirlo[/HASHTAG] [HASHTAG]#buffon[/HASHTAG]


Ghana vs Uruguay world cup South Africa 2010 sitamsahau asamoah gyan aisee

Dah mimi sitomsahau Suarez..na sitokaa nimpende..wampe mazawadi yote hata akipewa Ballon D'or kwangu hataingia kwenye orodha ya wachezaji bora ever!!!!!
 
Manchester United vs Bayern Munich Champions league final 1999
hiyo game sitakaa niisahau. Mghana Samuel Kufour dah! jamaa nahisi ni kama alikua na machungu kuzidi wajerumani wote katika ile fainali.

Pia game nyingine ambayo sitaweza isahau (not popular teams) ilikua mechi ya league kati ya Bolton wonders ya kina Mark Fish vs Crystal Palace.
 
Ungejua ulivyokitonesha kidonda changu kilichokwisha kupona?
Basi tu.
Hata hivyo mechi zilizowahi kuniuma maishani,nililia zaidi ya msiba;zipo 2 tu.
1.France vs Italy 2006 (World Cup Final)Nilikuwa upande wa France
2.Arsenal vs Barcelona (UEFA Final)
Nimesahau mwaka ila nakumbuka Jens Lehman alipewa red card kwa madai ya kumfanyia Samuel Eto'o madhambi.
Kama sio ile red card kombe lilikuwa letu kabisa [emoji24] [emoji24] [emoji24].
Mechi ile ilinifanya nikamchukia Eto'o na Barcelona hadi leo.
cc BAK
Duh kumbe Nifah tupo chama moja
 
1. Man Utd 4-3 Man City (mwaka 2009.)
_46410778_owen_new_credit.jpg

Wakati Craig Bellamy akiisawazishia Man City dakika ya 90 na kufanya ubao usomeke 3-3 wengi waliamini mechi hiyo ingeisha kwa sare, zikaongezwa dakika 4, City wakarudi nyuma kupaki basi.
Ghafla Michael Owen akaibuka shujaa baada ya kufunga goli la ushindi dk ya 96 nje ya zile 4 za nyongeza. Kocha wa Man City alilalamika sana baada ya Refa kushindwa kumaliza mpira kwa muda sahihi.

2. Liverpool 3-3 Ac Milan (Fainali ya Uefa 2005)
0505250137b.jpg

Fainali hii iliyofanyika Instanbul, Liverpool walikuwa nyuma kwa magoli 3-0 wakati wa mapumziko, kipindi cha pili kinaanza kwa kocha Benitez kumuingiza Dietmar Hamann ambaye alienda kumzuia Pirlo asicheze na kuwafanya Liverpool warudi mchezoni, dk 90 mechi inaisha 3-3 na Liverpool wanaenda kubeba ndoo kwa penati baada ya extra time.
final.jpg

ucl+2005+LFC+vs+Milan.jpg


3. Derpotivo La Coruna 4-0 Ac Milan ( Robo Fainali ya Uefa, April 7, 2004)
270271.jpg

Mabingwa watetezi wa Ulaya, AC Milan wakiwa na advantage ya ushindi wa 4-1 walioupata nyumbani San Siro, walienda kuwafata Derpotivo wakiwa vifua mbele lakini wakakutana na dhahama nzito ya kipigo cha 4-0 toka kwa Derpotivo. Walter pandiani kaibuka staa wa mchezo kwa kutakata na kuwapoteza mastaa wa Milan kama Kaka, Pirlo, Inzaghi na Shevchenko.
Ac Milan wakatolewa kwa jumla ya Magoli 5-4.

Karibu mdau ututajie na wewe mechi zako 3 unazozikubali.
Ac milan vs derpotivo hii ndio bonge la mechi
 
nililala baada ya half time
Hata mimi nikijua mechi imeisha
Germany vs Italy semi final world cup 2006.....
Germany anakufa goli 2 kwa 0 ndani ya dk ya 118 na 120....

Fabio Grosso anafunga bonge la bao baada ya kupokea pande maridhawa kwa el maestro pirlo anangalia kushota anapiga kulia.

Alesandro del piero ana wamalizia wajerumani kwa goli safi baada ya counter attack iliyoanzia kwa canavaro, luca toni, gilardino na kumkuta del piero na kumgalagaza jens lehman. Hapo ndipo ndoto za wajerumani zilipoishia.


Natamani kuwawekea clip yake ila jf apps ni jipu linapokuja suala la ku-upload video
Kuweka sawa.

Goli la kwanza alifunga del piero na la pili Fabio grosso baada ya kupata back pass ya andrea pirlo.

Tuko pamoja lilikuwa bonge la game, too sensational
 
Back
Top Bottom