Hawaishiwi visingizio wanapokosa matokeo mazuri. Mechi ya Ngao ya Jamii walimlalamikia Kocha kwamba alifanya substitutions (mbadala) zilizowaua. Leo wanamlalamikia Okrah kwamba alizidisha uchoyo hadi kupelekea kuokosesha timu ushindi.
Hivi wenzetu hamkosi sababu? Zoran alikuwa kocha wa timu gani siku ile? Okrah naye? Anzeni kukua!
Hivi wenzetu hamkosi sababu? Zoran alikuwa kocha wa timu gani siku ile? Okrah naye? Anzeni kukua!