Uruguay vs Ghana, WC south Africa
Simba vs AS vita, chama goal
Liverpool vs AC milan, UEFA champion final
Germany vs Brazil, 7goals
ManU vs Chelsea,UEFAchampion final
France vs Italy, WC final Zidane vs Materazi
ManCity vs QPR, dk93&sec45 Aguerro goal
Tanzania vs Uganda, qualifyAFCON match
Man U vs Arsenal, 8-2 results
Simba vs Yanga, 5goals of Simba
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Man. City vs Man. United 2 - 3
Hii kwangu ndio the best na ninayoikumbuka muda wote, nilikata tamaa baada ya kipindi cha kwanza nikiamini tayari tumewapa City ubingwa. Mwisho wa siku ilipigwa comeback ya nguvu second half.
2. PSG vs Man. United 1 - 3
"Mountains are there to be climbed" Solskjaer alionyesha ni jinsi gani hupaswi kukata tamaa, tumeona hata walichofanya Liverpool dhidi ya Barcelona.
3. Tanzania vs Uganda AFCONQ
Sikumbuki kama kuna game ya Taifa Stars nilishangilia kama hii, kushuhudia timu ya taifa langu kushiriki michuano mikubwa kama ile ilinipa furaha sana.
4. Kenya vs Tanzania AFCON
Hii iliniumiza sana tulistahili kushinda kwa jitihada wachezaji wetu walizoonesyesha uwanjani.
5. Man. United vs Chelsea 4 - 0
Hii ni special sana kuanza msimu tu na kumla mtu 4 kuliniaminisha mengi huenda msimu huu ni wetu tunabeba kombe kumbe sivyo.
6. Real Madrid vs Liverpool UCL Final
Kitendo cha Salah kuchezewa rafu ile kiliniuma, Liverpool walipambana sana kufika pale. Kiupande wa kishabiki nilifurahi Ronaldo kuongeza UEFA nyingine.
7. Uruguay vs Ghana WC 2010
Daaah kila nikimumbuka ile penalty ya Asamoah Gyan na ile shangilia ya Suarez naona kama waafrika hatuna bahati WC.
8. Man. United vs Arsenal 8 - 2
Hii sitasahau kumpiga mtu 8 EPL sio jambo dogo tena Arsenal.
9. Ajax vs Man. United 0 - 2
Baada ya kimya kirefu kule UCL timu yangu pendwa angalau tukabeba kombe letu la kwanza la UEFA Europa League.
10. Juventus vs Man. United 1 - 2
Daah ile free kick ya Mata sitaisahau tuliuaminisha ulimwengu hata kama sio bora sana ila tunapambana.
Kajaza mimechi yenye matokeo ya kushangaza na sio mechi kaliumejaza mechi mbovu halafu unasifiwa duh!
Afcon mwaka 2000 kama sikosei fainali nigeria cs cameroon game iliamuliwa kwa penati bonge moja ya game.
Victor Ikpeba penati yake ilidundia ndani halafu ikatoka nje. Bahati mbaya jamaa mwenyewe akashika kichwa kwamba amekosa.
Noma sana.
Niliumia mnooo! Enzi hizo VAR wala haifikiriwi.
Game inapigwa vigoma vya kushangilia vya kinaijeria vimetawala, okocha anafanya yake!
Kanu nae alikosa penati nyingine.
Uruguay vs Ghana, WC south Africa
Simba vs AS vita, chama goal
Liverpool vs AC milan, UEFA champion final
Germany vs Brazil, 7goals
ManU vs Chelsea,UEFAchampion final
France vs Italy, WC final Zidane vs Materazi
ManCity vs QPR, dk93&sec45 Aguerro goal
Tanzania vs Uganda, qualifyAFCON match
Man U vs Arsenal, 8-2 results
Simba vs Yanga, 5goals of Simba
Sent using Jamii Forums mobile app
Liverpool 4 vs Man united 1 mechi ilipigwa OT ...suarez akafanya yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumbuka nilikuwa chuga kipindi icho Uefa mwaka 2006 finali Ac milan na liverpool aisee hii game sitskuja isahau mpira ulikuwa mkali sana...
121.
2006 finali ilikuwa Arsenal na BarcelonaNakumbuka nilikuwa chuga kipindi icho Uefa mwaka 2006 finali Ac milan na liverpool aisee hii game sitskuja isahau mpira ulikuwa mkali sana...
121.
Anza kwanza wewe kutaja.Ni mechi gani kumi kwenye soka unazozikumbuka?