Mechi kumi kali

Mechi kumi kali

1. Man. City vs Man. United 2 - 3
Hii kwangu ndio the best na ninayoikumbuka muda wote, nilikata tamaa baada ya kipindi cha kwanza nikiamini tayari tumewapa City ubingwa. Mwisho wa siku ilipigwa comeback ya nguvu second half.

2. PSG vs Man. United 1 - 3
"Mountains are there to be climbed" Solskjaer alionyesha ni jinsi gani hupaswi kukata tamaa, tumeona hata walichofanya Liverpool dhidi ya Barcelona.

3. Tanzania vs Uganda AFCONQ
Sikumbuki kama kuna game ya Taifa Stars nilishangilia kama hii, kushuhudia timu ya taifa langu kushiriki michuano mikubwa kama ile ilinipa furaha sana.

4. Kenya vs Tanzania AFCON
Hii iliniumiza sana tulistahili kushinda kwa jitihada wachezaji wetu walizoonesyesha uwanjani.

5. Man. United vs Chelsea 4 - 0
Hii ni special sana kuanza msimu tu na kumla mtu 4 kuliniaminisha mengi huenda msimu huu ni wetu tunabeba kombe kumbe sivyo.

6. Real Madrid vs Liverpool UCL Final
Kitendo cha Salah kuchezewa rafu ile kiliniuma, Liverpool walipambana sana kufika pale. Kiupande wa kishabiki nilifurahi Ronaldo kuongeza UEFA nyingine.

7. Uruguay vs Ghana WC 2010
Daaah kila nikimumbuka ile penalty ya Asamoah Gyan na ile shangilia ya Suarez naona kama waafrika hatuna bahati WC.

8. Man. United vs Arsenal 8 - 2
Hii sitasahau kumpiga mtu 8 EPL sio jambo dogo tena Arsenal.

9. Ajax vs Man. United 0 - 2
Baada ya kimya kirefu kule UCL timu yangu pendwa angalau tukabeba kombe letu la kwanza la UEFA Europa League.

10. Juventus vs Man. United 1 - 2
Daah ile free kick ya Mata sitaisahau tuliuaminisha ulimwengu hata kama sio bora sana ila tunapambana.
Man city 6 man u 2
 
Nakumbuka hadi Barca dakika za mwisho wanasubiria mechi kuisha wakaanza kuchana nyavu..

Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app

ila siku ile kwa kweli man utd walikamatika yaani hamna pakupumulia.... xavi iniesta waliendesha game watakavyo.hapo ndio unaona kweli mpira burudani sio unakaa unaangalia mpira ni kama gombania goli bwana.
 
Netherlands vs Argentina world cup 98';Ile kichwa ambayo Ortega alimvisha van der ser ilikuwa hatari

Netherlands vs Portugal work cup 2006; red cards nne mbili kilA upande,Hadi waliotolewa wakakaa pamoja wakaanza kupiga soga
arsenal vs villareal,semifinal ucl 2006 second leg,ulipiga mpira mwingi sanaa,ila Lehman kuokoa mkwaju wa pernat ya requelme ndio haitosahaulika

reading vs arsenal(7-5);what a comeback,reading ikiongoza 4-1 mpaka halftime,at 90' it was 4-4 after extra time arsenal akashinda 7-5

Korea vs Italy,Korea vs Spain world cup 2002,Italy na Spain waliotolewa huku wakilia kwa figisu zilizochezwa
 
Hiyo ya World cup Holland na Argentina haikuwa ya sayari hii
Afcon mwaka 2000 kama sikosei fainali nigeria cs cameroon game iliamuliwa kwa penati bonge moja ya game.

Euro 2000
France vs portugal
France vs italy

World cup 1998
Argentina vs holland

Uefa 2005 final(istanbul miracle)
Liverpool vs ac milan

Arsenal bs real madrid uefa at bernabeu

Game ni nyingi mnooo ngumu kuchagua 10 pekee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Netherlands vs Argentina world cup 98';Ile kichwa ambayo Ortega alimvisha van der ser ilikuwa hatari

Netherlands vs Portugal work cup 2006; red cards nne mbili kilA upande,Hadi waliotolewa wakakaa pamoja wakaanza kupiga soga
arsenal vs villareal,semifinal ucl 2006 second leg,ulipiga mpira mwingi sanaa,ila Lehman kuokoa mkwaju wa pernat ya requelme ndio haitosahaulika

reading vs arsenal(7-5);what a comeback,reading ikiongoza 4-1 mpaka halftime,at 90' it was 4-4 after extra time arsenal akashinda 7-5

Korea vs Italy,Korea vs Spain world cup 2002,Italy na Spain waliotolewa huku wakilia kwa figisu zilizochezwa
kongole kwako brother...
ongezea na hizi
  1. chelsea 4 - liverpool 4 (champions league)
  2. liverpool 4 - arsenal 4 (usiku wa arshavin)
  3. juventus vs man utd (champions league 1999)
  4. arsenal 2 - man utd 2 (premier league 2002)
  5. uholanzi vs Italy (euro 2000)
 
Hiyo ya World cup Holland na Argentina haikuwa ya sayari hii

Sent using Jamii Forums mobile app

Bonge moja ya game!

Fundi Dennis Bergkamp anawauwa waargentina muda wa nyongeza huko!

Bonge moja ya goli, anareceive mali vizuri, anafanya touch kama tatu tu hivi kama sikosei halafu anaweka mpira kimiani!
Anapokea mali, anaudundisha chini kumpiga chenga (ayala sijui yule) anakutana na kipa anapiga kama outer fulani hivi mpira kimiani.
 
kongole kwako brother...
ongezea na hizi
  1. chelsea 4 - liverpool 4 (champions league)
  2. liverpool 4 - arsenal 4 (usiku wa arshavin)
  3. juventus vs man utd (champions league 1999)
  4. arsenal 2 - man utd 2 (premier league 2002)
  5. uholanzi vs Italy (euro 2000)

Shukrani mkuu.
 
Bonge moja ya game!

Fundi Dennis Bergkamp anawauwa waargentina muda wa nyongeza huko!

Bonge moja ya goli, anareceive mali vizuri, anafanya touch kama tatu tu hivi kama sikosei halafu anaweka mpira kimiani!
Anapokea mali, anaudundisha chini kumpiga chenga (ayala sijui yule) anakutana na kipa anapiga kama outer fulani hivi mpira kimiani.
Denis Bergkamp alikuwa Genius

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Milan vs juve uefa final
Buyern munchen vs Valencia uefa final
Simba vs as vita
Chelsea vs Barca 2005 second leg
Depotivo vs ac Milan
Colombia vs Uruguay
Chelsea vs man u ile ya 1999
Chelsea vs buyern munchen 20012
Arsenal vs Barca uefa final
Simba vs atletico aviacao sports ya angola

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ajax Vs Spurs (iliyochezwa Amsterdam)
PSG Vs Man U (Paris)
Barca Vs Inter (2010 zote home and away,sijawahi kuona mechi Mou alizofanikiwa kwny kupaki basi kama zile yaani hakuna cha Messi wala Xavi)
Ghana Vs Uruguay(2010Wc)
Spain Vs Uholanz(2010 WC final)
 
hi mechi ya kibabu fergie anatetemeka baada ya pep kumfundisha soka hahahaha
goli la tatu its david villaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
ile barcelona ilikuwa kiboko

Sijui kama atakuja kutokea kama messi,, Messi ni gift from God,, wakina fergi, arsen Wenger, pep, pocchetino, na chelsea hawatamsahau fundi wa dunia alivyowanynyasa plus iniesta na xavi 🤣🤣
 
1. Man. City vs Man. United 2 - 3
Hii kwangu ndio the best na ninayoikumbuka muda wote, nilikata tamaa baada ya kipindi cha kwanza nikiamini tayari tumewapa City ubingwa. Mwisho wa siku ilipigwa comeback ya nguvu second half.

2. PSG vs Man. United 1 - 3
"Mountains are there to be climbed" Solskjaer alionyesha ni jinsi gani hupaswi kukata tamaa, tumeona hata walichofanya Liverpool dhidi ya Barcelona.

3. Tanzania vs Uganda AFCONQ
Sikumbuki kama kuna game ya Taifa Stars nilishangilia kama hii, kushuhudia timu ya taifa langu kushiriki michuano mikubwa kama ile ilinipa furaha sana.

4. Kenya vs Tanzania AFCON
Hii iliniumiza sana tulistahili kushinda kwa jitihada wachezaji wetu walizoonesyesha uwanjani.

5. Man. United vs Chelsea 4 - 0
Hii ni special sana kuanza msimu tu na kumla mtu 4 kuliniaminisha mengi huenda msimu huu ni wetu tunabeba kombe kumbe sivyo.

6. Real Madrid vs Liverpool UCL Final
Kitendo cha Salah kuchezewa rafu ile kiliniuma, Liverpool walipambana sana kufika pale. Kiupande wa kishabiki nilifurahi Ronaldo kuongeza UEFA nyingine.

7. Uruguay vs Ghana WC 2010
Daaah kila nikimumbuka ile penalty ya Asamoah Gyan na ile shangilia ya Suarez naona kama waafrika hatuna bahati WC.

8. Man. United vs Arsenal 8 - 2
Hii sitasahau kumpiga mtu 8 EPL sio jambo dogo tena Arsenal.

9. Ajax vs Man. United 0 - 2
Baada ya kimya kirefu kule UCL timu yangu pendwa angalau tukabeba kombe letu la kwanza la UEFA Europa League.

10. Juventus vs Man. United 1 - 2
Daah ile free kick ya Mata sitaisahau tuliuaminisha ulimwengu hata kama sio bora sana ila tunapambana.
Naona zote ni za man u....
 
1. GERMANY VS BRAZIL 0-2 WC 2002
2. LIVERPOOL VS AC MILAN 3-3 2005 UCL
3. BENFICA VS MAN UTD 2-1 2005 UCL
4. JUVENTUS VS MAN UTD 2-3 UCL 1999
5. VILLAREAL VS ARSENAL 0-0 UCL 2005
6. AC MILAN VS BARCELONA 0-1 2005 UCL
7. GERMANY VS ITALY 0-2 WC 2006
8. PORTUGAL VS HOLLAND 1-0 WC 2006
9. BARCELONA VS PSG 6-1 2018 UCL
10. SIMBA VS YANGA 2-2 2020 VPL

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo namba 9 siyo. Sio kwa mbeleko ile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
YANGA VS SIMBA
GOLI LA MORISOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOON HADI LEO NATAMBA NALO
MIKIA KIMYAAAAAAAAAAAAAAAAA
Hii mechi kwangu mm, ndiyo iliyobeba mechi zote 10 bora na kali.
1- dk 1- 12 hapa Mikia walistahili kupigwa goli 3 safi.

2- Tshitshimbi , Balama, Feisal hawa waliwakamata, Mkude, Chama, Kahata hapa kielelezo angalia rafu za kiwango cha KINESI toka kwa wachezaji wa mikia

3- dk ya 44 goli Mujarabu, mpaka kipa wa Simba Aishi Manula analithibitisha hilo.

4- ushangiliaji wa goli lile na vurugu za kurusha chupa za maji, naam ni burudani.

5-ulinganifu wa Jersey, hapa kuna tofauti kubwa hongera GSM

6- Metacha Mnata huyu alijuwa vyema kufanya kazi yake , hainitoki kichwani. Nadhani Mikia watamchukua kama BENO.

7-EEEEH BABA HARUNA NIYONZIMA kisu cha buchani kinakwisha na makali take. Fanya kazi kubwa na ya ukweli.
8- Angalia na tafakari NYONI aliumiaje umiaje? na aliumizwa na nani? ukipata jibu utajua hii ilikuwa mechi 10 ndani ya 1

9- Ditraaaaam, anadokoa mpira Wawa linapita kama Guruwe pori, Manula mpira unampiga usoni ni bahati tu.

10- wooooooo woooh PS machine ana drive kwa kasi kuelekea goli la Simba pasi kwa Kaseke anaachia mkwaju unakula nguzo.

Ditram tayari aliamini ni goli anasubiri kushangilia tu. Bahati yao .

Mh JPM, rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania - ALIKUWEPO

Mh AHMAD AHMAD - rais wa Caf ALIKUWEPO

MH WALACE KARIA- rais wa TFF ALIKUWEPO.

mechi ilichezeshwa na Marefaree 6.

Jamani Hii ilikuwa 1(10)
 
Back
Top Bottom