Mechi ngumu ni kesho, na Yanga akifuzu, basi hata nusu fainali anaweza kutinga

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Naamini mechi ya kesho itakuwa na ushindani mkubwa kutokana na ubora wa timu zote mbili na Yanga asipokuwa makini, anaweza hata kupoteza hiyo mechi.

Hata hivyo, Yanga akishinda kesho dhidi ya Watunisia, basi atakuwa na uwezo wa kufika hata nusu fainali.

Hilli kiundi linaweza kutoa bingwa kama sio mshindi wa pili na hasa Monastir, na ndio maana nasema Yanga wakiwatoa hawa Waarabu hiyo kesho, basi wanaweza kutinga hata nusu fainali.
 
ni kweli ni ngumu sana
 
Mnahamisha magoli tu washamba wakubwa nyie

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Na huenda fainali zikakutana tena
 

Kesho pia hamna mechi ngumu
Muarabu kashafuzu hvyo hata tumia nguvu nyingi
 
Kesho pia hamna mechi ngumu
Muarabu kashafuzu hvyo hata tumia nguvu nyingi
Monastir sio horoya ya kufunga goli 7, yule ni mwarabu anayejitambua, yuko vizuri kiufundi na anajua anachokifanya, yanga waingie kwa adabu kubwa kwakuwa nafasi azitopatikana nyingi, ni mechi ngumu itakayokuwa nzuri sana
 
Ni mechi ngumu lakini yanga anashinda iyo mechi, aijalishi ushindi wa goli ngapi but yanga anafuzu robo fainali na nusu fainali anakwenda, licha ya Monastir kuwa na timu imara kesho anapigika vizuri tu, Jeuri ya yanga iko kwenye timu waliyonayo, benchi la ufundi bora na ni timu inayojiamini sana wanapokuwa uwanjani iwe nyumbani au ugenini, kwa maana iyo nawaona nusu fainali msimu huu
 
Monastir sio horoya ya kufunga goli 7, yule ni mwarabu anayejitambua, yuko vizuri kiufundi na anajua anachokifanya, yanga waingie kwa adabu kubwa kwakuwa nafasi azitopatikana nyingi, ni mechi ngumu itakayokuwa nzuri sana
Mechi kuwa ngumu kwenu haimaanishi ni ngumu kwa kila timu. Mechi inakuwa ngumu kwenu kutokana na nyinyi kuwa average. Nyinyi sio timu ya kusema mna timu bora.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…