Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
ni kweli ni ngumu sanaNaamini mechi ya kesho itakuwa na ushindani mkubwa kutokana na ubora wa timu zote mbili na Yanga asipokiuwa makini, anaweza hata kupoteza hiyo mehi.
Hata hivyo, Yanga akishinda kesho dhidi ya watunisia, basi atakuwa na uwezo wa kiufika hata nusu fainali.
Hilli kiundi linaweza kutoa bingwa kama sio mshindi wa pili.
Mnahamisha magoli tu washamba wakubwa nyieNaamini mechi ya kesho itakuwa na ushindani mkubwa kutokana na ubora wa timu zote mbili na Yanga asipokiuwa makini, anaweza hata kupoteza hiyo mehi.
Hata hivyo, Yanga akishinda kesho dhidi ya Watunisia, basi atakuwa na uwezo wa kiufika hata nusu fainali.
Hilli kiundi linaweza kutoa bingwa kama sio mshindi wa pili na hasa Monastir, na ndio maana nasema Yanga wakiwatoa hawa Waarabu hiyo kesho, basi wanaweza kutinga hata nusu fainali.
Na huenda fainali zikakutana tenaNaamini mechi ya kesho itakuwa na ushindani mkubwa kutokana na ubora wa timu zote mbili na Yanga asipokuwa makini, anaweza hata kupoteza hiyo mechi.
Hata hivyo, Yanga akishinda kesho dhidi ya Watunisia, basi atakuwa na uwezo wa kufika hata nusu fainali.
Hilli kiundi linaweza kutoa bingwa kama sio mshindi wa pili na hasa Monastir, na ndio maana nasema Yanga wakiwatoa hawa Waarabu hiyo kesho, basi wanaweza kutinga hata nusu fainali.
Naamini mechi ya kesho itakuwa na ushindani mkubwa kutokana na ubora wa timu zote mbili na Yanga asipokuwa makini, anaweza hata kupoteza hiyo mechi.
Hata hivyo, Yanga akishinda kesho dhidi ya Watunisia, basi atakuwa na uwezo wa kufika hata nusu fainali.
Hilli kiundi linaweza kutoa bingwa kama sio mshindi wa pili na hasa Monastir, na ndio maana nasema Yanga wakiwatoa hawa Waarabu hiyo kesho, basi wanaweza kutinga hata nusu fainali.
Ana point kumi hivyo unachokisema kinaweza kutokea.Kesho pia hamna mechi ngumu
Muarabu kashafuzu hvyo hata tumia nguvu nyingi
Monastir sio horoya kama unavyofikiria kaa kwa kutulia, yanga anakwenda kucheza na timu inayojitambuaUsiite mechi ngumu ili mkifungwa mpate kisingizio[emoji1787][emoji1787]
Monastir sio horoya ya kufunga goli 7, yule ni mwarabu anayejitambua, yuko vizuri kiufundi na anajua anachokifanya, yanga waingie kwa adabu kubwa kwakuwa nafasi azitopatikana nyingi, ni mechi ngumu itakayokuwa nzuri sanaKesho pia hamna mechi ngumu
Muarabu kashafuzu hvyo hata tumia nguvu nyingi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utapasuka mwaka huu, sio kuvimbaa tyuuhMonastir sio horoya kama unavyofikiria kaa kwa kutulia, yanga anakwenda kucheza na timu inayojitambua
Ni mechi ngumu lakini yanga anashinda iyo mechi, aijalishi ushindi wa goli ngapi but yanga anafuzu robo fainali na nusu fainali anakwenda, licha ya Monastir kuwa na timu imara kesho anapigika vizuri tu, Jeuri ya yanga iko kwenye timu waliyonayo, benchi la ufundi bora na ni timu inayojiamini sana wanapokuwa uwanjani iwe nyumbani au ugenini, kwa maana iyo nawaona nusu fainali msimu huuNaamini mechi ya kesho itakuwa na ushindani mkubwa kutokana na ubora wa timu zote mbili na Yanga asipokuwa makini, anaweza hata kupoteza hiyo mechi.
Hata hivyo, Yanga akishinda kesho dhidi ya Watunisia, basi atakuwa na uwezo wa kufika hata nusu fainali.
Hilli kiundi linaweza kutoa bingwa kama sio mshindi wa pili na hasa Monastir, na ndio maana nasema Yanga wakiwatoa hawa Waarabu hiyo kesho, basi wanaweza kutinga hata nusu fainali.
Mechi kuwa ngumu kwenu haimaanishi ni ngumu kwa kila timu. Mechi inakuwa ngumu kwenu kutokana na nyinyi kuwa average. Nyinyi sio timu ya kusema mna timu bora.Monastir sio horoya ya kufunga goli 7, yule ni mwarabu anayejitambua, yuko vizuri kiufundi na anajua anachokifanya, yanga waingie kwa adabu kubwa kwakuwa nafasi azitopatikana nyingi, ni mechi ngumu itakayokuwa nzuri sana