Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Eti average, unakijua unachoongea wewe au ilimradi umeongea, tuambie basi timu bora ni ipi labdaMechi kuwa ngumu kwenu haimaanishi ni ngumu kwa kila timu. Mechi inakuwa ngumu kwenu kutokana na nyinyi kuwa average. Nyinyi sio timu ya kusema mna timu bora.