Uko sahihi yule dogo ni bora kuliko Diaara sema tu ni vile hapewi kipaumbeleNimda sasa wa nyanda No 2 kupewa nafasi huyu amekua uchochoro
Mdaka mishale sasa kageuka kuwa mdaka fimboUnataka kusemaje?
Umejibu kitoto sana ,Kungekuwa kuwa na mechi tulizofungwa zaidi ya 2 kati ya hizo ningeona Kuna shida.
Ila urgently naona Mechi mbili Kachukulia makombe, Match 1 ilikuwa ya kulimwaga uno(yaan kusherehekea mafanikio).
So haikuwa na umuhimu. Hizo zingine malizia wewe Wenda utajipoza huko chini kunakokuwasha mkuu
99 au 10? hesabu tena
Diara ni mzuri kuliko Mshery lakini linapokuja suala la kukuza kipaji, Mshery akikaa langoni kwa mechi kadhaa, ni mzuri zaidi kuliko Diara.Uko sahihi yule dogo ni bora kuliko Diaara sema tu ni vile hapewi kipaumbele
Tatizo unajumlisha kama uko darasani,angalia home and away team. Timu inayoanza kuandikwa ndio iko homeKuna 8 na 10 hesabu tena