Mechi ya Al Hilal dhidi ya Yanga tarehe 16.10.2022, Al Hilal atashinda goli mbili au zaidi

Mcanada

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2020
Posts
982
Reaction score
1,942
Baada ya kufanya uchambuzi wangu yakinifu na kiuhalisi hesabu zangu hazidanganyi. Nimepata matokeo ya Mechi ya Al Hilal dhidi Yanga itakayopigwa tarehe 16 Oktoba 2022 nimejiridhisha kuwa matokeo ya mechi hiyo yatakuwa ni ushindi kwa Al Hilal na watashinda goli mbili au zaidi (Over 2.00 Goals). Naomba mhifadhi huu uzi tukutane tarehe 17 Oktoba 2022. Wasalaaam!
 
Sawa ndugu mchambuzi, uchambuzi ni maoni Yako na tunayaheshimu.
Ila uhalisia nikua Yanga anakwenda kufuzu Makundi kupitia mgongo wa Al hilal inawezekana isikufurahishe ila ndio ukweli na mtazoea japo maumivu yatakua makali.
 
3-0
 
Kuuhifadhi tu huu uzi wako, haisaidii kitu! Ulitakiwa useme hivi; iwapo Yanga hatafungwa hizo goli, basi tukuite mbwa umekaa pale 👉 🐕‍🦺
 
Mpaka sasa nyuzi za manabii uchwara zimefika 100, endeleeni kutabiri msichoke mbumbumbu fc
 
Naamini yanga itaenda makundi...mi simba kindak ndaki..ila nauona udhaifu kwa bek za yanga hasa upande wa kulia..shaban djuma na kibwana huwa wanajisahau sanaa...wakipanda hadi uwapigie simu kuwajulisha kuwa adui kafika
 
Sawa ndugu mchambuzi, uchambuzi ni maoni Yako na tunayaheshimu.
Ila uhalisia nikua Yanga anakwenda kufuzu Makundi kupitia mgongo wa Al hilal inawezekana isikufurahishe ila ndio ukweli na mtazoea japo maumivu yatakua makali.
Isipofuzu tukufanye nini
 
Nakazia na ntaweka laki nzims kwa Al Hilal kwenye 1xbet
 
Sawa ndugu mchambuzi, uchambuzi ni maoni Yako na tunayaheshimu.
Ila uhalisia nikua Yanga anakwenda kufuzu Makundi kupitia mgongo wa Al hilal inawezekana isikufurahishe ila ndio ukweli na mtazoea japo maumivu yatakua makali.
tunashukuru pia kwa mawazo yako ila nipende kukuambia yanga akifuzu labda iwe sudani ya temeke[emoji41]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…