3-0Baada ya kufanya uchambuzi wangu yakinifu na kiuhalisi hesabu zangu hazidanganyi nimepata matokeo ya Mechi ya Al Hilal Vs Yanga itakayopigwa tarehe 16 Oktoba 2022 nimejiridhisha kuwa matokeo ya mechi hiyo yatakuwa ni Ushindi kwa Al hilal na watashinda Goli mbili au zaidi (Over 2.00 Goals). Naomba msave huu uzi tukutane tarehe 17 Oktoba 2022. Wasalaaam!
2-2
Sahihi
Upe muda wakati kesho sio mbali
Duh, mkuuu Simba nyaunyau mnateseka sana! Umeliona kosi lakini? Tunatoboza!Upe muda wakati kesho sio mbali
Kumzuia Mayele asiteteme ni kazi sana!Upe muda wakati kesho sio mbali
Kuuhifadhi tu huu uzi wako, haisaidii kitu! Ulitakiwa useme hivi; iwapo Yanga hatafungwa hizo goli, basi tukuite mbwa umekaa pale 👉 🐕🦺Baada ya kufanya uchambuzi wangu yakinifu na kiuhalisi hesabu zangu hazidanganyi. Nimepata matokeo ya Mechi ya Al Hilal dhidi Yanga itakayopigwa tarehe 16 Oktoba 2022 nimejiridhisha kuwa matokeo ya mechi hiyo yatakuwa ni ushindi kwa Al Hilal na watashinda goli mbili au zaidi (Over 2.00 Goals). Naomba mhifadhi huu uzi tukutane tarehe 17 Oktoba 2022. Wasalaaam!
Mpaka sasa nyuzi za manabii uchwara zimefika 100, endeleeni kutabiri msichoke mbumbumbu fcBaada ya kufanya uchambuzi wangu yakinifu na kiuhalisi hesabu zangu hazidanganyi. Nimepata matokeo ya Mechi ya Al Hilal dhidi Yanga itakayopigwa tarehe 16 Oktoba 2022 nimejiridhisha kuwa matokeo ya mechi hiyo yatakuwa ni ushindi kwa Al Hilal na watashinda goli mbili au zaidi (Over 2.00 Goals). Naomba mhifadhi huu uzi tukutane tarehe 17 Oktoba 2022. Wasalaaam!
Kumzuia Mayele asiteteme ni kazi sana!
Mkuu tuupe muda wakati ni hakimu wa hakiDuh, mkuuu Simba nyaunyau mnateseka sana! Umeliona kosi lakini? Tunatoboza!
Isipofuzu tukufanye niniSawa ndugu mchambuzi, uchambuzi ni maoni Yako na tunayaheshimu.
Ila uhalisia nikua Yanga anakwenda kufuzu Makundi kupitia mgongo wa Al hilal inawezekana isikufurahishe ila ndio ukweli na mtazoea japo maumivu yatakua makali.
Nakazia na ntaweka laki nzims kwa Al Hilal kwenye 1xbetBaada ya kufanya uchambuzi wangu yakinifu na kiuhalisi hesabu zangu hazidanganyi. Nimepata matokeo ya Mechi ya Al Hilal dhidi Yanga itakayopigwa tarehe 16 Oktoba 2022 nimejiridhisha kuwa matokeo ya mechi hiyo yatakuwa ni ushindi kwa Al Hilal na watashinda goli mbili au zaidi (Over 2.00 Goals). Naomba mhifadhi huu uzi tukutane tarehe 17 Oktoba 2022. Wasalaaam!
tunashukuru pia kwa mawazo yako ila nipende kukuambia yanga akifuzu labda iwe sudani ya temeke[emoji41]Sawa ndugu mchambuzi, uchambuzi ni maoni Yako na tunayaheshimu.
Ila uhalisia nikua Yanga anakwenda kufuzu Makundi kupitia mgongo wa Al hilal inawezekana isikufurahishe ila ndio ukweli na mtazoea japo maumivu yatakua makali.