Elewa maana ya neno mimiMinibus ni bus kama ilivyo miniskirt ni skirt.Coaster zilizotoka kenda Zambia ngapi? Acha uongo.
Aahaaaa,kufa kuko pale paleView attachment 2748859
Kuna mashabiki watakuwa bado wapo njiani kwenda
Young Africans Sport Club vs Al-Merrikh live score, H2H and lineups | Sofascore
Young Africans Sport Club Al-Merrikh live score (and video online live stream) starts on 30 Sept 2023 at 16:00 UTC time in CAF Champions League, Qualification, Africa.www.sofascore.com
Kumbe tulikuwa tunashindana mbona hukuniambia from the start?Una asili ya ubishi tufanye umeshinda
Tafsiri ya bus bado ni kitendawili kwa viongozi wa Uto mpaka kwa mashabiki wao.
Nzuri ungemfahamisha ni costa ngapi zimeenda zambia,kwa maana dar zimetoka ngapi na mikoa mingine mingapiMini bus ni bus?
Unataka kusema nusu ni kitu kizima?
Unaelewa idadi ya Costa zilizotoka kwenda Zambia?
Ili tusijaze savers bure nakubaliana na wewe bus lazima iwe kubwa kama AboodKumbe tulikuwa tunashindana mbona hukuniambia from the start?
Kwasababu nimeshindwa kukubaliana na hoja zako ndio sababu ya kuniita mbishi?
Hahahahaha,unatakiwa kuwasaidia wajue huo utofautiTafsiri ya bus bado ni kitendawili kwa viongozi wa Uto mpaka kwa mashabiki wao.
Watu wanakuja na mifano ya school bus mara mini bus we unategemea nini?
Tawi gani?Elewa maana ya neno mimi
Neno mimi limetumika kuwakilisha "udogo"
Ukiambiwa minibus maana yake hilo sio bus lingekuwa bus lingeitwa bus usingeona wameita mini bus
Uongo upi sasa, kama hujui kuwa kuna Costa za matawi zilizotoka kwenda Zambia waulize wenzako
Kamati ya roho mbaya na mpira pesaTawi gani?
Hakuna kitu kama hicho huyo kisugu mmemuacha.Kamati ya roho mbaya na mpira pesa
LiveScore wanadai game keshoHakuna kitu kama hicho huyo kisugu mmemuacha.
Kawadanganye makolo wenzako. Yanga imepeleka mashabiki wengi zaidi.
Kwanini uende livescore wakati CAF wapo online na haya ni mashindano yao?LiveScore wanadai game kesho
LiveScore kampuni kubwa,huenda wamepata habariKwanini uende livescore wakati CAF wapo online na haya ni mashindano yao?
BBC jioni hii wamesema ni kesho ijumaaIlikuwa hivyo mwanzoni wakati ratiba inatoka ila kwa sasa game ni tarehe 16/09 ambayo ni jumamosi.
Ingia kwny official account yao tweeter utaona
Hahaaa kutoka kwa PopomaTetesi kutoka kwa Genta?
Hahaaa, wewe ni wa Pwani. Madogori ni magoma ya waganga hupigwa usiku kule Moro nilikuwa nayasikiaga so mchawi mstaafu anajua mpira ni hayo madogoli.Mpira sio dogori Mr Mshana
Wamebadilisha,waneweka jmosKwanini uende livescore wakati CAF wapo online na haya ni mashindano yao?
Kobello wewe ni kiboko aisee mifano yako ya kimafia sana...Minibus ni bus kama ilivyo miniskirt ni skirt.Coaster zilizotoka kenda Zambia ngapi? Acha uongo.