Mpaka muda hii Kitayose hawajatokea uwanjani kupasha misuli. Bado dkk 18 mpira uanze.
---
Kitayosce FC ilianza mechi dhidi ya Azam ikiwa na wachezaji nane [8], Bodi ya Ligi tulipokea uthibitisho kutoka TFF kuwa wachezaji nane [8] tu wa Kitayosce ndio wanastahili kucheza mechi ya Ligi.
Kikanuni inaruhusiwa timu kucheza ikiwa na wacheza nane [8]. Kanuni inaeleza timu itaruhusiwa kucheza ikiwa na wachezaji wasiozidi 11 na wasiopungua saba [7].
Kanuni hizohizo pia zinaeleza, endapo itakapotokea wale wachezaji wasiopungua saba mmoja wapo au zaidi akashindwa kuendelea na mchezo kwa maana wakapungua saba mchezo huo utamalizwa/utavunjwa.
Timu ambayo wachezaji wake wametimia uwanjani itapewa ushindi [alama tatu na magoli matatu] lakini kama ilikuwa imefunga magoli zaidi ya matatu, magoli yaliyofungwa yatasimama hivyohivyo.
Karim Boimanda, Ofisa Habari Bodi ya Ligi via Azam TV.
---
Kitayosce FC ilianza mechi dhidi ya Azam ikiwa na wachezaji nane [8], Bodi ya Ligi tulipokea uthibitisho kutoka TFF kuwa wachezaji nane [8] tu wa Kitayosce ndio wanastahili kucheza mechi ya Ligi.
Kikanuni inaruhusiwa timu kucheza ikiwa na wacheza nane [8]. Kanuni inaeleza timu itaruhusiwa kucheza ikiwa na wachezaji wasiozidi 11 na wasiopungua saba [7].
Kanuni hizohizo pia zinaeleza, endapo itakapotokea wale wachezaji wasiopungua saba mmoja wapo au zaidi akashindwa kuendelea na mchezo kwa maana wakapungua saba mchezo huo utamalizwa/utavunjwa.
Timu ambayo wachezaji wake wametimia uwanjani itapewa ushindi [alama tatu na magoli matatu] lakini kama ilikuwa imefunga magoli zaidi ya matatu, magoli yaliyofungwa yatasimama hivyohivyo.
Karim Boimanda, Ofisa Habari Bodi ya Ligi via Azam TV.