Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Azam anaongoza moja huku 2-0Mpaka muda hii Kitayose hawajatokea uwanjani kupasha misuli. Bado dkk 18 mpira uanze.
MSIMU HUU DUBE ASIPOKUWA MFUNGAJI BORA!
Maelezo hayatoshiKitoyisce wamepata changamoto ya usajili mpakauda huu wameahapigwa 2
La tatu hilo!!Hii ndio mechi ya kiboya tangu kuanzishwa kwa ligi kuu hapa Tanzania!!
Hizo atapiga feisal pekeyake[emoji1787][emoji1787]Leo ni 10
Hii ni uhuni na kuhujumu mpira katika nchi.Kitoyosce wamepata changamoto ya usajili mpakauda huu wameahapigwa 2
Duhkitayose wameingia wachezaji nane uwanjani
imekuwaje mkuu, hao wanne wamekula umeme au imekua vipi?Unawezaje kuchezesha timu ina wachezaji pungufu ( wanane ) uwanjani halafu baadae uje utoe kiatu cha mfungaji bora?
Hizi mambo mbona ni uhuni mwingi sana?
Hivi kulikuwa hakuna njia nyingine hili lisitokee?
Nimesikitishwa sana na huu uhuni wa leo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]La tatu huko Fei toto!Hii nchi imeshindikana Kwa Kila kitu.