fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
We zombiiiiiiii we
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo na ndio kafunga la kwanza!!dube hayupo
Fafanua hapoMpira wa bongo bado sana ila kuna unazi wa Simba na Yanga ambao unaharibu mpira.
Sheria inasema wachezaji kuanzia 7 mechi inachezwa vizuri tuSasa tff si waahirshe mechi!!
Nashangaa naona wapo wachacheSijui kwann wamekubali kuingiza timu Hawa jamaa.
Mpira hawajui alafu wako 8 uwanjani!
Watakula kumi Hawa na wanamtengenezea mtu ufungaji bora
Simba na Yanga inaingiaje hapo?Mpira wa bongo bado sana ila kuna unazi wa Simba na Yanga ambao unaharibu mpira.
Hiyo ni team imekamilika tayari....wangekuwa chini ya 7 mechi inaahirishwaWapo nane uwanjani inakiwaje
Lakini ilikuwa sio lazima wacheze leo!!!Sheria inasema wachezaji kuanzia 7 mechi inachezwa vizuri tu
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app