Mechi ya Azam FC Vs Kitayosce imemalizwa kabla ya muda baada ya Kitayosce kubakiza wachezaji pungufu uwanjani

Mechi ya Azam FC Vs Kitayosce imemalizwa kabla ya muda baada ya Kitayosce kubakiza wachezaji pungufu uwanjani

hii mechi sidhani kama itaendelea maana kitayose wachezaji wawili wametolewa kwa machela wapo nje
 
Wapo 8 uwanjani na hawana sabu wakitoka Wachezaji 2 mpira unaisha.
 
Kipa wa Kitayosce kaumia huenda asiweze kuendelea na mchezo, mpira umesimama
 
Back
Top Bottom