Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye yuko kazini anatimiza wajibu.wanaotakiwa waone aibu ni viongozi wa hiyo timu kufanya mambo kibabaishaji.Walikua wapi siku zote kuweka mambo yao vizuri.Fei toto nae anashangilia bila hata aibu[emoji1787][emoji1787]
We zombiiiiiiii we
Hatarrrr🤣🤣the wonder will not finish
Wamekaa kabisa au ni kikao cha kusimama?Naona kuna vikao vinaendelea hapa
Timu haijakamilisha taratibu za usajili na kwa hivyo wachezaji walioruhusiwa ni wanane tu.imekuwaje mkuu, hao wanne wamekula umeme au imekua vipi?
Sasa wanacheza je nane uwanjani?? Kwani wachezaji wengine wa akiba wako wapiWako pungufu wachezaji 8
tegemea màgoli 10+
Bure kabisa bora refa wanashauriana kuhairisha mpiraSijui kwann wamekubali kuingiza timu Hawa jamaa.
Mpira hawajui alafu wako 8 uwanjani!
Watakula kumi Hawa na wanamtengenezea mtu ufungaji bora
The result ..?pleaseNaona wamebaki 11 vs 6
Nadhani wameamua kutumia mbinu ya kikanuni ili wabaki pungufu ya 7, match ihailishwe.Kitayose wamebaki 7 uwanjani na Kuna hati hati ya kubaki 6 maana Captain na Goolkeaper Hali Tete.
duh, wamepewa kadi nyekundu ama?Naona wamebaki 11 vs 6
Sio vikao rasmi ivyo wamesimama. Na mpira umesimamaWamekaa kabisa au ni kikao cha kusimama?